Recent content by mfukunyuku

  1. M

    MSAADA: Binti Mrembo anatembea na Kaka Mwathirika lakini hajui!

    The responsibilty of not being infected with HIV lies on self hands,hivi huyo binti kwa umri huo alionao,hajui kwamba mtu yoyote anaweza kuwa muathirika,na wala usimjue kwa macho,sasa basi atafanya vipi ngono na mtu asiyeijua status yake,kwa karne hii ya sasa!na je atakuwa amelala na wangapi,kwa...
  2. M

    Kitendo cha kumlipia Mahari mwanamke kimepitwa na wakati.

    tatizo wazazi wamekuwa waroho,wanawafanya binti zao mitaji!wakati kwa imani yangu ya dini,,mahari ni chochote anachotaja binti muolewaji,anaweza hata akataka kitabu cha dini tu,ndo iwe mahari yake.sasa kasheshe inakuja kwa wababa,mimi nawaita wabinafsi na wametwaliwa na mfumo dume,baadhi yao...
  3. M

    MAakungwi! Watoa Masomo! Walimu wa Mapenzi Ni Upotoshaji wa Jamii na Kujiingizia Kipato Isivo Halali

    Kungwi au wengine wamuita somo,ni mtu muhimu sana,na mara nyingi anakuwa ni mtu wa kwenye ukoo wenu,unawekwa ndani,si chini ya mwezi mmoja kwa mfano kabila tetu sisi,na mara nyingi huyu kungwi anakuwa na upendo nawe wa dhati,na ni mtu mzima na ambaye yupo kwenye ndoa kwa muda mrefu,wangu mie...
  4. M

    Vladimir Putin amuacha mkewe kwa mtoto wa miaka 29 .

    Tusidanganyane,gap hiyo ya umri ni soo,itafikia tu point utacheat,mana kizee kinakuwa kimechoka,hakina uwezo wa kukushughulikia vizuri ukaridhika,sasa usiombe kikapata high blood pressure na DM,nawe ndo kwanza upo kwenye mid 3o's libido lipo juu,lazima utatoka nje kutafuta kijana mchapakazi...
  5. M

    CV ya Profesa Jay (Joseph Haule)

    Jamani watu acheni uzushi,mnasema tu vitu bila kuwa na uhakika,then mjiite great thinkers,profesa J,hajaishia darasa la nne,nina uhakika asilimia mia,coz amesoma na kaka yangu kigurunyembe sekondari,ulizeni wale waliokuwepo pale miaka ya 1990,msikurupuke kuharibu cv za watu haipendezi,na J...
  6. M

    Clouds FM wamburuza mahakamani Lady JayDee, kesi yapigwa kalenda hadi Mei 27...

    Wanatumia pesa zao kummaliza dada wa watu,sijui watapata faida gani.walichomdhulumu hata kama hawajamlipa hapa duniani,watamlipa kesho kwa mungu.You have my prayers Jide.GOD WILL ALWAYS BE WITH YOU>
  7. M

    Nani anasema lady jaydee kafulia?

    Haki ya mungu,wa bongo tuna roho mbaya!yani badala ya kumsifu dada wa watu na kumpa moyo,amesimama kwenye game kwa muda mrefu na kufanya vitu vingi vya kimaendeleo yake binafsi,kavuka vikwazo vingi,kakutana na changamoto nyingi lakini akazikabili bila kukata tamaa,siamini kumbe kuna watu wana...
  8. M

    Rafiki Yangu...

    Mh,pole Mentor na vurugu za rafiki yako kakakiiza kwa dada yako,lakini mentor umeweka chumvi au umetudanganya?mwaka wa nne medical students hawaendagi cadaver,hata sisi tumepita hapohapo muhimbili.Hili umetupiga changa la macho,pole yao wasioujua ukweli.
  9. M

    mumeo alikuwa kicheche mie nikamtuliza kuna ubaya?

    MMh we dada youn sound kama mwislamu vile,na uislamu unamruhusu mwanaume kuoa wanawake mpaka wanne,sijajua huyo mume wa mtu unayedai kumtuliza kama ni mwislamu au mkristo,kama ni mwislamu na hajakuoa mpaka sasa,basi jua kajua wazi wewe hufai kuwa mkewe,ndo maana hajakuoa mpaka sasa,la kama ni...
  10. M

    Member mpya katika jukwaa-Nawasalimia wakongwe-Igweeeeeee

    Salaam alaykum,bwana yesu asifiwe,habari,igweeeee,mimi ni mgeni jamii forums,na pia katika jukwaa hili,wakongwe wa jukwaa hili(Smile,lara1,mzabzab,mwanamalundi,Natalia muke ya mudhungu na wengineo naomba baraka zenu,na mnipokee mwenzenu pia ninaehusudu saaana jukwaa hili,IGWEEEEEEEE.
  11. M

    MJUMBE MPYA WA JAMII FORUM,naomba mapokezi yenu kwa mikono miwili na moyo safi

    Hallow jamii forums members,mimi ni mjumbe mpya wa jamii forum ambaye nimejiunga rasmi na jukwaa hili jana,kiukweli ni kwa muda mrefu nimekuwa nikiperuzi katika jukwaa hili,na kupitia threads mbalimbali na comments zinazochangiwa na members,bila kuwa na uwezo wa kuchangia chochote,coz nilikuwa...
Back
Top Bottom