Jamani watu acheni uzushi,mnasema tu vitu bila kuwa na uhakika,then mjiite great thinkers,profesa J,hajaishia darasa la nne,nina uhakika asilimia mia,coz amesoma na kaka yangu kigurunyembe sekondari,ulizeni wale waliokuwepo pale miaka ya 1990,msikurupuke kuharibu cv za watu haipendezi,na J...