mfukunyuku
Member
- Apr 29, 2013
- 12
- 4
The responsibilty of not being infected with HIV lies on self hands,hivi huyo binti kwa umri huo alionao,hajui kwamba mtu yoyote anaweza kuwa muathirika,na wala usimjue kwa macho,sasa basi atafanya vipi ngono na mtu asiyeijua status yake,kwa karne hii ya sasa!na je atakuwa amelala na wangapi,kwa dizaini hiyo,asiowajua status zao,huo ni uzembe wa binti mwenyewe,na hata akiachana na huyo kaka yako,aweza ngonoka na mwingine pia bila ya kujali status yake,cha muhimu ni ajijali na ajue kwamba VVU havichagui,yoyote anaweza akawa navyo.