wadada wa chuo mnapenda vya bure sana wacha mliwe 2.na hapo ume2ficha 2 c mlimalizana kwenye gari humohumo.
Huyu atakuwa mzabzab tu, bora umpe pesa zitafika ila ukimpa dada au mkeo amsindikize lazima majanga njiai . Sijakuona muda jamvini...upo?
hahaha kwani nimekuwa mngoni wewe? mie nipo bwana mie wake za watu sumu maana lazima uwagegede bila ndom na mie napenda maisha yangu...
Hahaha wewe bana nisipokusoma hapa JF siku yangu inakuwa haijawa njema.....style yako imekutoa sana hapa JF (umekuwa femasi)
Umesema sawa kabisa my dear...hii kali. Ila wajameni twendeni mbele na kurudi nyuma zamani dada wa rafiki yako alikuwa dadako kweli na ulimtreat kama dada au mdogo wako. Hisia za mapenzi ilikuwa ni ngumu sana kuziamsha bila kuwa na uhakika kuwa unachukua jumla. Siku hizi ninaona kama si sahihi unless uwe na uhakika kabisa kuwa huyu ndiye ama sivyo ukichukua na kuacha unauhatarisha urafiki wako na mwenzio unless ulikuwa urafiki mbuzi.... kitu ambacho sio rahisi kwa wanaume.
hapa mimi pia nitakubishia......Mie nitambishia kidogo MwanajamiiOne. Naona kama ameangalia issue kwenye side moja ya coin tuu.
Nafikiri hii practice ipo prevalent zaidi kwa akina dada hasa kama kaka zao ni wastaarabu.
Nina maana wewe Mentor unanitambulisha kwa dada yako tena kwa wema kabisa.
Kwa kuwa anaku-regard as the best brother ever, basi ana-assume kuwa na mie rafiki yako nitakuwa kwenye category hiyo hiyo.
Mie nam-treat kama dada yangu lakini yeye yeye anakuja mazima mazima kwa kuona kuwa this is the golden chance to be missed.
Tena anafanya siri bila hata wewe Mentor kujua. At the end of the day unakuja kuambiwa tarehe ya ndoa.
How would you feel? Horrible? Proud? Mixed feeling?
Mh,pole Mentor na vurugu za rafiki yako kakakiiza kwa dada yako,lakini mentor umeweka chumvi au umetudanganya?mwaka wa nne medical students hawaendagi cadaver,hata sisi tumepita hapohapo muhimbili.Hili umetupiga changa la macho,pole yao wasioujua ukweli.
Wewe unataka thread igeukie kuwa uchambuzi wa "Kasri Ya Mwinyi Fuad" sasa.
Huyu atakuwa mzabzab tu, bora umpe pesa zitafika ila ukimpa dada au mkeo amsindikize lazima majanga njiai . Sijakuona muda jamvini...upo?
Mie nitambishia kidogo MwanajamiiOne. Naona kama ameangalia issue kwenye side moja ya coin tuu.
Nafikiri hii practice ipo prevalent zaidi kwa akina dada hasa kama kaka zao ni wastaarabu.
Nina maana wewe Mentor unanitambulisha kwa dada yako tena kwa wema kabisa.
Kwa kuwa anaku-regard as the best brother ever, basi ana-assume kuwa na mie rafiki yako nitakuwa kwenye category hiyo hiyo.
Mie nam-treat kama dada yangu lakini yeye yeye anakuja mazima mazima kwa kuona kuwa this is the golden chance to be missed.
Tena anafanya siri bila hata wewe Mentor kujua. At the end of the day unakuja kuambiwa tarehe ya ndoa.
How would you feel? Horrible? Proud? Mixed feeling?
Mwambie tu next time akimtoa out ampeleke sehem zenye akili lkn sio kumpga bit mwenzio kwn hutaki aolewe??
23 kwa 35?kama akitaka kuavoid drama za vishalobalo this is fantastic gap ever...
hapa mimi pia nitakubishia......
nakumbuka enzi hizooo kakangu alikuwa na marafiki wengi sana ambao walikuwa karibu sana nami. na kwa sababu tulikuwa tunaishi wawili tu (mimi na kaka) ikawa wale rafiki zake wengi walikuwa hawajaoa na wapo close sana nami, wanakuja nawapikia na pia walikuwa wanapenda sana kunipeleka viwanja.....
nakumbuka kati ya hao, wawili walishawahi kunitokea, na niliwakataa kwa gia kuwa ni kaka zangu na sitaki kumuudhi kakangu kwa kutoka na rafiki zake, niliwaheshimu sana kama kaka zangu.
baadae nilipokuwa naolewa, niliolewa kabla hao kaka zangu wote hawajaoa, wakajikuta kila mtu analalamika kwa kaka kuwa walidhani nitakuwa sister maana niliwakataa. tena nakumbuka kuna huyo mmoja (hakuwa mtanzania) alimlazimisha sana kakangu wasafiri kwenda mkoa ambao mchumbangu alikuwa anaishi ili tu akamwone. Alikuja kutulia baadae saaaana na kukubali matokeo
Hiyo huwa inatokea ila tusi-base upande mmoja kuwa mwanaume au mwanamke tu ndio huwa na tabia ya kumvunjia heshima mwenzake, ila hiyo huwa inaokea pande zote sio kwa wanaume wala wanawake.
Nadhani dada FP ulishindwa kuwakubali hao rafiki wa kaka yako kwakua ulikuwa umewafanya kama sehemu ya familia yenu (i mean wamekua kama kaka zako wa kuzaliwa tumbo moja na wewe).
Ila muda mwingine hata hao rafiki wa kaka/dada yako wanakupenda kweli ila kutokana na misingi tuliojijengea kuwa ni kama kaka/dada yako tunajikuta tunakataa upendo ule kwa kile tunachosema tumekua kama ndugu.
Swali la kujiuliza
Je kama ni rafiki wa kaka/dada yako haruhusiwi kukupenda?
Copy to: EMT, MwanajamiiOne, Mentor Asnam.
Hiyo huwa inatokea ila tusi-base upande mmoja kuwa mwanaume au mwanamke tu ndio huwa na tabia ya kumvunjia heshima mwenzake, ila hiyo huwa inaokea pande zote sio kwa wanaume wala wanawake.
Nadhani dada FP ulishindwa kuwakubali hao rafiki wa kaka yako kwakua ulikuwa umewafanya kama sehemu ya familia yenu (i mean wamekua kama kaka zako wa kuzaliwa tumbo moja na wewe).
Ila muda mwingine hata hao rafiki wa kaka/dada yako wanakupenda kweli ila kutokana na misingi tuliojijengea kuwa ni kama kaka/dada yako tunajikuta tunakataa upendo ule kwa kile tunachosema tumekua kama ndugu.
Swali la kujiuliza
Je kama ni rafiki wa kaka/dada yako haruhusiwi kukupenda?
Copy to: EMT, MwanajamiiOne, Mentor Asnam.
Mdogo wako kicheche yani kaja kukuelezea mbona mengi kaacha au kwakuwa hayaelezeki yeye sianaogopa miba sasa kwanini tulikuwa tunaenda naye guest siku hiyo nikwakuwa alinikuta na shori za maana halafu anataka kuniletea usister du mimi nataka hayo!Kwa ksisiter chako kila siku kona baa kinafanya nini pale??! Mentor mwambie mimi siyo sazi yake anitolee uniniriyu!
Jibu: Anaruhusiwa. Ila jinsi atakavyomtongoza mdogo wa rafiki yake ni lazima iwe tofauti kabisa na jinsi anavyotongoza vicheche wengine. In this aweke akilini kuwa chochote atakachofanya kitaweza either kujeopardize his friendship au ku strengthen it!!!