Recent content by mfugaji kuchi

  1. M

    Tunaofuatilia kazi za bomba la mafuta Uganda -Tanzania (EACOP) DIT tukutane hapa

    Habarini za muda huu. Mimi form 4 nilisoma mathematics and biology Je ninavigezo vya kuchukuliwa?
  2. M

    Tofauti kati ya degree hizi?

    Naomba ufafanuzi kati ya degree hizi Bachelor of official statistics Bachelor of Data science Ipi iko powa katika upande wa ajira au kujiajiri?
  3. M

    USHAURI: Nina Diploma ya Ualimu. Je, naweza soma Degree?

    Si ungeenda kozi ya afya , because una ufaulu mzuri
  4. M

    Kwanini mafundi wa kushona nguo hali yao ya maisha ni ya chini?

    Sijaongelea kuhusu kuzeeka, nimeongelea kuhusu fedha na kufanikiwa kimaisha.
  5. M

    Kwanini mafundi wa kushona nguo hali yao ya maisha ni ya chini?

    Nauliza kwa nini mafundi wa kushona nguo wanakuwa hawatajiriki na Kubaki hivyo hivyo miaka na miaka? Yaani unakuta fundi miaka na miaka Yuko hivyo hivyo.
  6. M

    TAMISEMI mna tatizo gani?

    YAANI walimu wananyanyasika na kuzaraulika kiasi hichi kwanini ???
Back
Top Bottom