Recent content by Mfuata haki

  1. M

    Mkutano wa CHADEMA Kasulu mjini wafanyika, lakini...

    ni kweli mkuu ukiangalia vizuri inaonyesha wazi ni mtu mmoja ndiye aliyeandaa na kuandika mabango hayo ili kuaminisha watu kuwa watu wa kigoma wako against chadema,angalia hata wananchi wanawashangaa hao watu,hiyo ndio ujue kuwa wana kigoma hawana chuki na chama bali ni mpango wa watu wachache...
  2. M

    Said Arfi - Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ajiuzulu rasmi!

    Nina shaka na mchango wako kwa vile nawe ni mmoja wa hao wasaliti,kama unafahamu M1 na M3 wamekiri wazi kuhusika na waliomba kujiuzulu nyazifa zao na wakakataliwa,sasa tatizo liko wapi ndugu yangu
  3. M

    Prof. Muhongo: Watanzania ni wavivu wa kufikiri, wavivu wa kusoma na washamba katika uwekezaji

    nina shika na ufahamu wako ndugu yangu na labda umeweka uchama mbele badala ya utaifa kwa vile aliyesema yuko ndani ya ccm,katika uandishi wa habari, kichwa cha habari ni ule usemi uliyobeba maudhui yote ya kikao husika,mathalani kiongozi azungumzie ukimwi kwa kujitangaza yeye mwenyewe kwanza...
  4. M

    TUGHE: Zitto Kabwe ashtakiwe

    mheshimiwa uko sahihi kabisa,hawa TUGHE ni wapuuzi kupita kiwango,kuna malalamiko mlengi kwenye serikali za mitaa kuhusu mmishahara na ufisadi mwingi uko huko,nashangaa hawaongelei hili wanaongelea kutajwa mishahara ya rais na waziri mkuu,angalia kweny mtandao utaona mishahara ya viongozi...
  5. M

    Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    Niliwahi kusikia kipindi kimoja kwenye runinga kuhusu historia ya mtume muhamad ya kuwa kipindi chake cha kueneza dini alitafutwa na maadui zake ili auwawe kwa kujiepusha alikimbilia ethiopia wakati huo na ilikuwa nchi inayoongozwa na wakristo,je kama wakristo ni makafiri,mtume alifata nini...
  6. M

    Tetesi: Mwigulu Nchemba amtishia mbunge wa CUF

    Wewe ndie mburula wa kiwango kibovu cha akili,Mwigulu alitajwa na yule jamaa aliyevaa shati jeupe na suruali nyeusi hadi kuwalazimu watangazaji hasa Deo kumtaka athibitishe kauli yake na wapi alilisikia hilo la mwigulu kuandika kimemo na kumtaka kutoa kauli yake,yeye alisisitiza kuwa mwandiko...
  7. M

    Mbowe: Hatuwezi kushiriki utapeli wa Chama cha Mapinduzi

    Ukweli unaujua lakini huwezi kuusema kwani ndio sera ya Chama Cha Mateja,hii ni wazi kama huna jina kubwa la ukoo kwenye Chama Cha Mateja huwezi pata uongozi wa juu pale zaidi utaishia kwa wanafiki kama nyie wenye kazi ya kupiga kelele kula wanakula wengine,ni nani asiyejua kuwa hata mheshimiwa...
  8. M

    Ukweli ni huu kuhusu chadema mkoa wa kigoma

    Nina shaka na kiwango chako cha ufahamu,kama chadema ni wauaji ni kwanini waombe tume huru ya mahakama kuchunguza,na ni kwanini yule anayemshutumu mwenzie kuwa muuaji akatae tume hiyo wakati yeye anasema yuko safi,wananchi wa sasa sio wale wa kipindi kile kupanga foleni barabarani najua kali ili...
  9. M

    Ukweli ni huu kuhusu chadema mkoa wa kigoma

    Nina shaka na kiwango chako cha ufahamu,kama chadema ni wauaji ni kwanini waombe tume huru ya mahakama kuchunguza,na ni kwanini yule anayemshutumu mwenzie kuwa muuaji akatae tume hiyo wakati yeye anasema yuko safi,wananchi wa sasa sio wale wa kipindi kile kupanga foleni barabarani najua kali ili...
  10. M

    Lengo si kummaliza Mansoor tu bali Maridhiano pia

    UKWELI UTATUWEKA HURU SIKU ZOTE HATA KAMA NI MCHUNGU KIASI GANI,umefika wakati wa kusikiliza kilio cha wazanzibar na sio kuwakandamiza kila wasemapo
  11. M

    Lengo si kummaliza Mansoor tu bali Maridhiano pia

    Kinachonitia huzuni ni kuwa mnaujua ukweli bali hamtaki kuuweka wazi,wajumbe wote walioshiriki katika hicho kikao ni wale wasiopenda kuujua uo ukweli,imefikia wakati tujue kwamba kuna siku sitakuwepo hapa duniani je nawaachaje wale waliobaki kwa upuuzi nilioufanya,au mbele za Mungu nitajibu...
  12. M

    TAHLISO yamuumbua January Makamba, yadai ni wanavyuo feki waliandaliwa, urais wamtesa

    Nilishangaa niliposikia January kawa waziri,huyu bwana ninamfahamu kuanzia shule hapa Galanosi na hadi mtaa tuliokuwa tunakaa wa Masiwani hadi nyumba waliyokuwa wanakaa wakati baba yake ni katibu wa mateja hapa Tanga,jamaa ni kweli aliiba mtihani akakamatwa na kufutiwa matokeo na licha ya hayo...
  13. M

    Mambo ya gesi huko Mtwara: Wazungu wakipiga ndumba ili wasafirishe gesi

    Uko sahihi mzizi mkavu hii ilikuwa ni baada ya bibi kuwaeleza kuwa kama hawatapiga tambiko hakuna kitu watakachokiona katika utafiti wao,jamaa wakabisha kilichotokea ni kweli hawakuona kitu ndipo wakarudi kwa bibi,baada ya tambiko vitu vyote vikaonekana hata bila ya vifaa vya kisasa,huyu ndiye...
  14. M

    Mangula, Msekwa wampinga Nape mgogoro Bukoba,mgogoro sasa wahamia CCM Taifa

    Mheshimiwa Msigwa alisema hivi bungeni "INSANITY IS DOING THE SAME THING IN THE SAME WAY AND EXPECTING THE DIFFERENT RESULT" tunayaona haya sasa yanatokea kule kwa chama cha maunga,wasitegemee kipya kwa kuwa wote ni wale wale mafisadi,hivyo Nape hata aongee kitu gani kitapingwa ikiwa kinakwenda...
  15. M

    CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

    Ni kweli kabisa nakuunga mkono kwa hilo,Chama Cha Maunga(CCM) kiko kwa ajili ya wanafiki,wanaojipendekeza,wazinzi na mafreemason,wale wote wenye kuonyesha msimamo wa kupinga hilo kwa maslahi ya wananchi hufukuzwa mara moja bali wale wenye kukandamiza wananchi ndio wanaopendwa na mafisadi ya...
Back
Top Bottom