Recent content by mfirimba_ass

  1. mfirimba_ass

    Kwanini Kenya kuna idadi kubwa ya "Gays" kuliko Uganda na Tanzania?

    Na alivokuja Obama aliingizia hiyo ishu Kenya!! Kuwa wawape haki tu !! Lakin hakuja kulileta Tz!! Rationale:Alikua anajua kua kuna idadi kubwa ya raia wa hivo Kenya!! Kuliko pengine Ko ule usemi wa Mwenye kingi muongezee
  2. mfirimba_ass

    Kwanini Kenya kuna idadi kubwa ya "Gays" kuliko Uganda na Tanzania?

    Ha ha ha ha waarabu wana vibamia!! .....ko wenye vibamia ndio wanapenda kuruka ukuta? Ili kupata fleva!! nafikir inafaa kua topic nyngine
  3. mfirimba_ass

    Zima kiki washa mziki hatimaye Zilipendwa yaipiku Seduce me kwa views Youtube

    Mange kimambi atakunya sasa maana alikua anamdisi sana dai
  4. mfirimba_ass

    Ebitoke alizwa na Ben Pol

    Mwanamke atakua amerogwa huyu kla cku kung'ang'aniza mapenzi
  5. mfirimba_ass

    Uthibitisho: Wazungu wana akili zaidi kuliko Makabila mengine Duniani. Sisi wa Mwisho.

    wewe umeshika huo wimbo mdogo tu wa bob marley but mimi nimemsikiliza sana bob marley na discography yake. kiakili bado unaonesha wewe hujawa huru maana unadhan uhuru ni kuukataa ukweli. huo ndo ufungwa mbaya.tulipaswa kujiuliza tumeangukia wapi.tunashida gani.... na si kujifariji Unapoint...
  6. mfirimba_ass

    Zitto: Tumekabidhi nchi kwa washamba na malimbukeni

    Aache ujinga hao werevu wametufikisha wapi for 50 yrs bado tunaongelea kampeni za Maji Na Umeme!! Its shame
  7. mfirimba_ass

    Kwanini Kenya kuna idadi kubwa ya "Gays" kuliko Uganda na Tanzania?

    Kwa utafiti Mdogo niliofanya n kua Kenya ina idadi kubwa zaidi ya gays kuliko nchi nyingine za East Africa!!... Hasa wengi wakitokea Mombasa Na Nairobi Ikumbukwe kua Google walishatoaga riport kpnd cha nyuma kua Ktk East Africa Kenya ndio wanaongoza kugoogle neno "Gays"... Ikiwa n ktk nyanja...
Back
Top Bottom