Recent content by Mfimbo

  1. M

    Serikali ya Tanzania imebariki raia wake kuibiwa kupitia Makampuni ya Michezo ya Kubahatisha

    Makampuni ya michezo ya kubahatisha yameendelea kuongezeka kwa kasi sana nchini Tanzania kuliko nchi nyingine za ukanda wa Afrika Mashariki. Ongezeko hili linachagizwa na ukweli usiopingika kuwa kumiliki kampuni ya michezo ya kubahatisha ndio njia rahisi zaidi ya kuvuna pesa kutoka kwa watu wa...
  2. M

    The Government of Tanzania has allowed its citizens to be exploited through betting industry

    Gambling companies have continued to rapidly proliferate in Tanzania more than in other East African countries. This growth is driven by the undeniable fact that owning a gambling company is the easiest way to profit from people of different age groups. My motivation for writing this piece is...
  3. M

    SoC03 Jicho la karibu linahitajika kunusuru Elimu yetu

    Kwa miongo kadhaa sasa suala la elimu limekuwa likishika hatamu katika mijadala mbalimbali nchini. Maoni mengi yamekuwa yakilenga kuishauri serikali kufanya mabadiliko ya mitaala ikihusisha uhuishaji wa mambo yanayopaswa kufundishwa katika zama hizi zilizotawaliwa na ushindani katika kila Kona...
  4. M

    There are several benefits that Tanzania would gain if it were to use English as the language of instruction at all levels of education

    I personally don't believe that using Swahili language as a medium of instructions in primary level should be treated as an obstacle towards learning English language. In both levels; an ordinary and advanced, every subject is taught in English language except Kiswahili. English language has...
Back
Top Bottom