Namshukuru Mungu sana baada ya kutekelezwa na mimba na Ex wangu nakumbuka hadi nilitamani kuitoa (Mungu anisamehe sana haya mawazo sijui yalitokea wapi)
Nililea mimba mwenyewe hadi nikajifungua mungu alivyo mwema nilijifungua mapacha maana mimi pia nilizaliwa pacha lakini pacha wangu alikufa...
Wazungu wanakwambia "Golden chance' sasa hivi mhafidhina Trump ameingia na hapendi mashoga
Huu ni wakati kama nchi kuwashughulikia hawa wadudu wanaoitwa mashoga na wasagaji
Serikali ifanye yafuatayo
Marufuku ushoga na mashoga kuanzia maeneo ya wazi kuanzia kwenye mabar mahoteli migahawani iwe...
Nashindwa hata nieleze vp[emoji24][emoji24] nilitamani hata nisiitaje maana nitaonekana kama naipromote jee bila kuitaja wahusika wataitambuaje ili waifungie?
Ninaandika haya kwa uchungu mkubwa sana labda hii post serikali itaiona walifanyie kazi haraka sana.
Kuna dating app moja ya mashoga inafanya kazi hapa nchini ambapo mashoga huitumia kujitangaza na kukutania kufanya ushetani wao
Hii app kwanini "TCRA" wameiacha?Hii app ni maalum kwa ajili ya...
Heee bibi mfumuko wa bei umekushindwa kuzibiti, utaweza mambo mazito?Nahisi hata maamuzi hufanyi wewe, kiujumla uwezo wa kuongoza huna.Huo ndo ukweli ukubali ukatae, wanaokusifia wakusifiye mimi ni mwanamke mwenzio nakwambia tu bibi we uwezo huo huna!Karama ya kuongoza huna
Umeshindwa mfumuko...
Hii barabara ni nyembamba halafu foleni ikitokea panakua na shida maana wanaotokea mbagala wanaingilia na hii njia ya kurudi mjini nayo wanaiendea
Maana yake njia zote mbili ya kwenda mbande upande wa left na huu wa kurudi mbagala yaani left zote zinageuzwa kuwa barabara moja tu ya kurudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.