Recent content by mfawidhi

  1. mfawidhi

    GE2025 Askofu Gwajima amezungumza na vyombo vya habari ameendelea kupinga utekaji na kusisitiza umuhimu wa Reforms

    Mwamba kumbe ile speech ni recorded from Mafichoni. The Chanzo walikua wanaonesha wakakatisha! Iliyoonesha hadi mwisho ni akaunti yake pale youtube pekee
  2. mfawidhi

    Uliishi maisha gani baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

    Babu usiombe hii kitu. Ilinikuta na nina watoto watatu. Wote wanatakiwa kurudi shule…hapo nina ada ya kianzio ya mtoto mmoja! Nikalipa robo ya kwanza ya huyu mkubwa…wawili wakapaki basi home. Tunaamka tunatizamana huku stock ya msosi inaendelea kukata. Nilikopa hadi kwa Ex- wangu! Ila Mungu...
  3. mfawidhi

    DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

    Ndoa sio ajira....wanawake fanyeni kazi mzalishe mali. Ku*ma sio tiketi ya utajiri. Najua kuna watakaosema mwanamke ana mchango katika kutafuta hela za Mosha. Basi atumie mchango huo kutafuta za kwake mwenyewe kama kweli huo 'mchango' anao.
  4. mfawidhi

    Uzi wa waliowahi kutuma Nauli wakaachwa solembaa....

    Big up sana! Hii ndio inaitwa kurudisha heshima ya kiume! Hela ya mwanaume haipotei hovyo eroo! [emoji1377]
  5. mfawidhi

    Tukio gani la ajabu limewahi kukukumba mbele za watu

    Wajinga sana wale....wametufaidisha sana vijana enzi zetu!
  6. mfawidhi

    Nitafute....(Zawadi nono inakungoja)

    Driver wa Gari namba T51..DMH nicheki inbox....nina zawadi yako! Ku-prove wewe ni muhusika itabidi umalizie namba iliyoachwa wazi hapo na useme ni gari aina gani.. Hint: Ulikua unaendesha kwenye hii stretch: Africana - Njia panda ya kawe leo asubuhi (between 6:40 - 7:00am). Seat ya pembeni...
  7. mfawidhi

    Mji wa Bukoba wakumbwa na msongamano wa watu kuliko kawaida

    Shime watanzania woote muwe mnarejea makwenu kipindi cha sikukuu kusherehekea na jamii zenu! Inaleta faraja sana ikizingatiwa mwaka mzima mmekua busy kuchuma sio mbaya mafanikio mkaenda kugawana na wazee kijijini
  8. mfawidhi

    Kagasheki arusha jiwe gizani

    What a way to tell a man he is not! So many words!
  9. mfawidhi

    Mapenzi ya vichochoroni

    Hadhi zenyewe za kushusha mnazo? Mbwembwe tu na trendy words!
  10. mfawidhi

    Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

    Hahah...huyo sister huyo! Angenifahamu kiundani tu!
  11. mfawidhi

    Nimemkuta mpenzi wangu na mwanaume mwingine

    Mlioanza mapenzi kwa simu za smart mnatutatiza sana...kila kona vilio! Ache haya mambo hadi mpevuke kwanza!
  12. mfawidhi

    Nishaurini: Nimegundua pesa ninazompa anahonga mwanaume mwingine

    Ole wako tuokote maiti kwenye kiroba fukweni! Utatueleza kinagaubaga
  13. mfawidhi

    Nataka kumshtaki mke wangu anilipe fidia kwa kunihujumu muda mrefu

    Hapana aisee...Huyu lazima ni mwanaume wa mkoani! Hawezi kuwa na tope lote hili kichwani halafu akawa wa Dar!
Back
Top Bottom