We uoni Iran kuruhusu kushambuliwa ni udhaifu?
Kama watu wameweza kumshambulia bila kizuizi, basi hata Kama kweli anehamisha hiyo mitambo nayo itashambuliwa tu wakati ukifika.
Tatizo ni kwamba Iran anaingilika hadi chumbani bila vipingamizi.
Kosa ni lako wewe, kwanini unaamua kuzaa na mtu hajakutoleq mahari Wala kujitwmbulisha kwenu?
Pili hii stori, tumesikia kutoka upande wako tu, hatujasikia upande wa huyo jamaa. Inawezekana wewe ndo tatizo labda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.