Recent content by Mfanyabiashara Toka Japan

  1. Mfanyabiashara Toka Japan

    Utabiri Mwaka 2069: Nyumba za Kujifagia, Maghorofa ya Chini ya Ardhi!

    WATAALAM wametabiri kwamba baada ya miaka 50 ijayo, kwenye mwaka 2069, dunia itakuwa imebadilika sana kisayansi, ikiwa ni pamoja na nyumba za makazi kujisafisha kwa mashine za roboti, kuweko maghorofa marefu chini ya ardhi, hoteli zinazoelea angani, teksi zinazopaa, njia za usafiri ndani ya...
  2. Mfanyabiashara Toka Japan

    Simanzi Afrika! Dj Arafat Azikwa Kitaifa Ivory Coast

    Msanii na pia ni DJ. Wewe hapo mtaani kwenu hata nyumba ya 3 hawakujui
  3. Mfanyabiashara Toka Japan

    Tetesi: Ed Sheeran Atangaza Kupumzika Muziki

    MWANAMUZIKI maarufu duniani, Mwingereza, Edward Christopher Sheeran, maarufu kama Ed Sheeran ametangaza kuwa atapumzika kazi hiyo baada ya kuifanya kwa muda mrefu. Ametoa kauli hiyo alipokuwa anafanya hitimisho la ziara yake ya ‘Divide World Tour’ mjini Ipswich, Uingereza, baada ya miaka...
  4. Mfanyabiashara Toka Japan

    Tetesi: Baada ya Harmonize Kujitoa… Rayvanny Taa Nyekundu Yawaka Wasafi

    DAR ES SALAAM: UNA kifua nikupe ubuyu? Staa mwenye kiwango cha juu ndani ya Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ anayepiga mzigo na Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), muda wowote anaweza kuondoka katika familia hiyo inayoongozwa na mnyama mkali, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Mipango...
  5. Mfanyabiashara Toka Japan

    Simanzi Afrika! Dj Arafat Azikwa Kitaifa Ivory Coast

    Maelfu ya watu nchini Ivory Coast walikusanyika katika uwanja wa Felix Houphouet Boigny huko Abidjan kushiriki ibada ya kuaga mwili wa marehemu Ange Didier Houon maarufu kama Dj Arafat. Dj Arafat ayelipoteza maisha baada ya kupata ajali ya pikipiki huko Ivory Coast mnamo Agosti 12, 2019...
  6. Mfanyabiashara Toka Japan

    Mikosi na laana maarufu zaidi katika soka

    Ile laana aliyotupa Mzee wa Ruksa ndio laana mbaya zaidi hapa Tanzania. Yaani sisi ni VICHWA VYA WENDAWAZIMU?
  7. Mfanyabiashara Toka Japan

    Liverpool na laana ya ubingwa wa EPL

    Vipi huko Inter Milan kumenoga????
  8. Mfanyabiashara Toka Japan

    Liverpool na laana ya ubingwa wa EPL

    Nilipata kuandika .... LIVERPOOL NA LAANA YA UBINGWA WA EPL NA NIHZRATH NTANI JNR. Ni Jumamosi moja jioni. Naam! ni jioni ile ya Jumamosi ya April 28, 1990. Historia ninayoizungumzia hivi leo ni ya miaka 29 iliyopita. Mwanaume mmoja mwenye umri kati ya miaka 45 hadi 55 ,akionekana...
  9. Mfanyabiashara Toka Japan

    Exclusive: Ligi kuu ya england ndani ya azam tv

    Bakhresa asiwajaribu Wazungu. Haki za matangazo ni bei sana
  10. Mfanyabiashara Toka Japan

    Nauza sahani za udongo za jumla na rejareja kutoka Japan

    NAUZA SAHANI ZA UDONGO KUTOKA JAPAN ZA JUMLA NA REJAREJA NAPATIKANA Tandika MAWASILIANO 0712246164
Back
Top Bottom