YUKO WAPI MGOMBEA MWENZA WA UKAWA?
katika hali ya kushangaza na ambayo inaonekana kutoulizwa, sasa ni wiki ya tatu mgombea mwenza wa Ukawa Bwana Juma Duni Haji ametoweka na hajulikani aliko. Akizungumza na mtoa taarifa wetu mchambuzi wa Siasa Bwana Mahende aliuliza swali ambalo Viongozi wa...
Na hapo wote waliolala ktk UKAWA wamepotea, kama ktk maisha haya tuna matumaini na UKAWA basi tumasikini na malofa Jul ko watu woooote duniani......teh teh teh teh teh.......chama cha upatu hakiwezi kuongoza nchi kama tz. Endeleeni kuota ndoto mkiwa mcho.......
Wapinzani wakikosaga cha kuongea wanakuwa kama mazombi.....teh teh teh teh....Hao wasanii ni watanzania na wamejiandikisha na kura zao tunazihitaji pamoja na kura za wanaowaamini wao. Ninyi mkoa wapi? Au hamjui nini maana ya kampeni?.....kampeni ni kushawishi watu nakukubali na...
Mgombea uraisi UKAWA hana uwezo wa kuongoza nchi hii......mtu anajinyea ovyo wa kazi gani apelekwe matibabu nchi haitoongozwa na wagonjwa hii, wagonjwa watasaidiwa matibabu na nchi..OK?
Usiwasemee watanzania ndugu jisemee mwenyewe...CCM bado ni chama bora kinachokidhi vigezo vya kuongoza nchi hii....Na msubirie ushindi wa kimbunga oktoba 25.
Watanzania kama et tunaamini kuwa lowasa ataleta mabadiliko basi sisi ni wa kufanyiwa maombi.....hivi kweli kwa akili za mtu aliyekamilika amuwke Magufuli na fisadi manywele kisha amchague manyele????......hivi tunadhani ikulu ni choo cha jiji kila mtu anaweza kwenda jamani??????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.