Recent content by mezanane

  1. M

    Vodacom ni kero, wananiambia wana hitilafu ya kimtandao hela niliyotuma ipo hewani

    Vodacom mnahuduma mbovu sana. Nimetuma Pesa kwenda mtandao wa Tigo nimekatwa hela lakini baadaye wanatuma message hii, "Samahani, muamala wako haukukamilika kwasababu za kiufundi. Tafadhali wasiliana na huduma kwa wateja." Nawapigia customer care wananiambia wana hitilafu ya kimtandao hela...
  2. M

    Hivi mtu akifa na hela zake ziko benki na Mpesa, tukiwa na cheti cha kifo tunaweza fuatilia?

    Hapana chetu cha kifo hakitoshi ndugu. Inatakiwa kufungua kesi ye Mirathi na msimamizi anayeidhinishwa na Mahakama ndiye atakayefuatilia kwa kutumia nyaraka za Mahakama. Ukweli ni kuwa Kuna hela nyingi sana kwenye Mpesa au simu za marehemu ambazo zinaotea kwa kutokufuatiliwa.
  3. M

    Mume wangu anaishi maisha ya hali duni huku pesa yote akisaidia ndugu. Nimkomboe au niwe kama sijui kitu

    Nakushauri ingie kwenye maombi umkomboe kwa njia hiyo. Angalizo endapo utashirikisha watumishi wa Mungu, uwe makini nenda kwenye makanisa yanayojiendesha kama taasisi achana na haya ya mtu binafsi maana hukuko unaweza ukaondoka na matatizo mengine!
  4. M

    Mifuko mbadala kutumika badala ya plastic

    Tunaofungasha nyama buchaani mifuko hiyo itatufaa? si nyama itashikana na karatasi
  5. M

    Swali: Je, ni muda gani mzuri wa kufanya mapenzi usiku au mchana?

    Mida ya saa 4 na 6 muafaka sana mkimaliza mnalala fresh kabisa na usingizi unakua mzuri sana
  6. M

    Ushauri: Ananiumiza Tukigegedana, Natamani Kumwacha

    Achana naye hamia kwangu ujaribu huku labda hutaumia
  7. M

    Mradi gani wa kiuchumi unaweza kuanzisha kwa kutumia fedha za mafao kiasi cha Tshs 90,000,000/-?

    Amount inabaki hiyo hiyo uzuri wake ukiona haikulipi Bond unaiuza bond hiyo kwa faida mtu mwingine anaichukua. Isitoshe Bond inaweza kutumika kama dhamana wakati wowote
  8. M

    Mradi gani wa kiuchumi unaweza kuanzisha kwa kutumia fedha za mafao kiasi cha Tshs 90,000,000/-?

    Ndugu, tulia ueleimishwe! BOT Bond zinaanzia 1million. Tembelea Broker yeyote atukupa mwongozo mzuri sana lina BOT wana invite public ili uweze na wewe kuchukua
  9. M

    Mradi gani wa kiuchumi unaweza kuanzisha kwa kutumia fedha za mafao kiasi cha Tshs 90,000,000/-?

    Ndugu, kwa hali ilivyo nakushauri hela hiyo anunue BOND za serikali Benki Kuu. Achukue Bond ya miaka 10- 15 itampa faida ya 13% kwa mwaka. Hivyo kwa mwaka atapata 11,700,000.00 kama atachukua Bond ya 90,000,000.00.Atalipwa 11,700,000 kwa muda wa miaka 10 -15 kutegemea na bond mtakayochagua...
  10. M

    House4Sale Nyumba inauzwa. Sh. million 130,000,000/- maongezi yapo

    Ukijenga kwa hela hiyo mpka finishing uje unionyeshe hiyo nyumba
  11. M

    SPIKA: Tumesitisha kufanya kazi na CAG. Panga pangua Kamati za Bunge yaanza

    Kuna ufafanuzi hapa tena unatakiwa?
  12. M

    Taarifa: Daraja Linalounganisha mikoa ya Dodoma na Morogoro limejaa maji, magari hayapitiki

    Poleni sana wasafiri. Nadhani ni muhimu tukajifunza, hii barabara inaunganisha sehemu mbalimbali za nchi na makao makuu ni vyema ikaimarishwa ipitike wakati wote na isitoshe hiyo sehemu ni korofi miaka mingi inajulikana tatizo hatufanyii kazi.
Back
Top Bottom