Recent content by metrology

  1. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Upo sana tu karibu tena Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
  2. M

    Bendera zinazokaa mbele ya mahoteli makubwa zina maana gani?

    Kuna kitu nimejifunza, ahsante mleta uzi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mm niliwahi kubahatisha bet yangu mwenyewe nikapata 2.3m m bet nikajaribu kizitumia hizo hela kununua fixed match tena wanavutia matangazo yao utasikia no chance to loose lakini sikupata hata moja na mpaka Leo baadhi yao wananitumia tips pamoja na muda kuisha sijui wamesahau kunitoa Sent using...
  4. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hizo hela unazotaka kuwapa jaribu mwenyewe kubet kuliko kuwapa maana ukishawatumia hela wanakutumia tips baada ya hapo hata uwaulize nn hawakujibu tena na tip zao wanabahatisha tu kama ww maana mpira ni mpira tu hakuna ajuaye kabla ya dk 90 Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Meya Boniface Jacob: Waliompotosha Rais kuhusu mapato ya Halmashauri za mkoa wa Dar es Salaam wawajibishwe

    Du! Waje watoe ufafanuzi maana inaonekana watu hawjamuelewa raid kabisa Japp kwabali ukisikiliza alichokisema rais na alichoandika meya hakuna tafauti ila tu mitazamo tu maana rais alisema jiji la Dodoma na jiji la dar as salaam sidhani na wala siitaji kuamini kuwa rais hajui miundo ya haya...
  6. M

    Kuna mtu kamdanganya Rais Magufuli juu ya Dodoma kuongoza kimapato; uhalisia wenyewe upo hivi!

    Hapo ki mantiki maneno yanatumika hapo yanahitaji kuangaliwa kiundani, malengo waliojiwekea! Sasa je hayo malengo ni realistic kwa kiasi gani maana waweza jiwekea malengo kidogo ukilinganisha na hali halisi ukafika na kuvuka ukasifiwa lakini liwalo na Liwe Dom haiweizi izidi dar mapato
  7. M

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Sisi wa kigoma tunafikiwa link jamani
  8. M

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    Kama unajua Dawa ilipo si useme masuala ya Ku pm ya nini tena ,mbona mnapenda sana ya siri hata kwenye mambo yasiyohitaji siri Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Anapenda kufanya mapenzi sana, najuta!

    Inasemekana huyo jamaa anasema kinyume chake mke hapendi ngono na yeye anataka kila wakati kwa uzoefu wangu wanawake ndio huwa hawapendi show za kila wakati kwa mwanaume Siku mbili kwa wiki labda niwe na dozi ya malaria kiukweli show baada ya Siku mbili ni reasonable na hapo lazima kuwe na mchepuko
  10. M

    NAUZA BIASHARA INAYOENDELEA

    Bei haipungui
  11. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naomba kujua hizo over 3.5 ziko kampuni gani m bet sizioni
  12. M

    Forex trading short course

    Ngoja niendelee kutafakari kwanza maana naona naanza kuelewa
Back
Top Bottom