Majizi wapi anaowatetea tundu lisu?
Wale serikali ya ccm iliyowaleta yenyewe na kuingia nao katika mikataba ya uharamia na unyonyaji wa kifisadi?
Tumlaumu mwenye kosa mkuu na lisu. Lisu anaongea kisheria juu ya mikataba hii hiyo tuliyoingia tukiwa tumehongwa wao wakiwa makini inavyoweza...
Watanzania wa aina hii ni nyoka waliojaa sumu kali na usaliti unaotupotezesha fedha nyingi na kusababisha matumizi mabaya ya rasilimali za taifa letu.
Binafisi naona fikira zetu zimebebwa na nadhalia ya kuwajaza matumaini ya kufikilika watanzania masikini angali miyoni mwetu kukiwa hakuna...
Naichukia ccm na nauchukia utawala wa Magufuli.
Hii ni nchi ya watanzania, Na si nchi ya taasisi ijulikanayo kama ccm ama mtu mmoja kwa jina la raisi kuamua atakavyo.
Ni aibu kubwa utu wetu kutawaliwa na mtu mmoja na hata tusiwe na lolote la kusema juu ya chochote. Eti Kisingizio uzalendo na...
Hakuna dkt wa kupunguza mwili mjomba. Kikubwa cha kufanya ni zoezi, zingatia chakula bora, muda wa kupumzika na kiwango cha maji unachokunywa. Na kutoa nafasi kati ya maji na chakula.
Kama huna habari za kujitoshereza na umejaa umbeya kwa nini umetoa taarifa ya uzushi na badala yake unatuomba tukujuze. Acha kuchafua watu bali jaribu muungwana.
Hii ndio africa bwana tusishangae.
Wanasiasa wa namna hii ni wengi Africa na ndio wenye kuleta laana kwenye taifa letu. Maono yao hayajawahi kuwa sahihi hata siku moja. Kwani kukanusha rangi waliyoichagua wenyewe hawachelewi. Mungu ibariki tanzania
Mheshimiwa Kigwangala, Ukiwa waziri wa maliasili na utalii, binafisi napenda kutumia nafasi hii kukupongeza kwa kuteuliwa kwako kuwa waziri wa wizara hii nyeti na yenye maslahi makubwa kwa rasilimali za taifa letu.
Lakini katika hili niseme kwamba napata wasiwasi na mashaka makubwa juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.