Zee la kitaa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2017
- 403
- 211
- Thread starter
- #21
Kwani watu katika taifa hili wamepigwa risasi katika awamu hii tu. Ama nyie mnabagua watu; walipigwa risasi wakiwemo polisi mnaona sio watu. Baada muungane nguvu moja kupigana na hawa waharifu wanaopiga watu mnaleta porojo za kipuuzi. Ama nyie ndio mnatuma hao wanaopiga risasiNa haka katabia kakupiga watu risasi na kukamata wapinzani nako ndio solution ya ( )