Recent content by meshbarick

  1. M

    Hatutaki elimu ya bure ya Lowassa...

    We unataka mkopo ukavutie bangi tu ww,inaelekea ww sio msomaji
  2. M

    Wakazi wa Kibamba kufanya maamuzi magumu

    CCM imeshindwa zaidi ya miaka 50 kutatua tatizo la maji sembuse hiyo 5 tu ya mnyika Acha mada zisizo na msingi.kura zetu mnyika ziko pale pale tunajua hii 5 ijayo Utafanya kweli
  3. M

    Makala, Raia Mwema. Ukweli ni Mmoja tu na Haubadiliki: CCM ya Magufuli ni CCM ya Mabadiliko!

    Hainiingii akilini Eti leo CCM nayo inahubiri kuleta mabadiliko na wakati miaka 50 yote iko madarakani je na wapinzani nao wahubiri nn,hii ni aibu kubwa kwa chama tawala kuhubiri mabadiliko wanatakiwa watuambie walichokifanya zaidi ya miaka 50 na sio blaa blaa zao
  4. M

    Yaliyojiri StarTv: Mahojiano Maalum ya Dr. Slaa na Star TV - Tarehe 4 Septemba, 2015

    Ajibiwe nn sasa kwa sasa watu hawana muda huo wa malumbano watu wako kwenye harakati za kampeni,kashapuuzwa hana maana
  5. M

    Yaliyojiri StarTv: Mahojiano Maalum ya Dr. Slaa na Star TV - Tarehe 4 Septemba, 2015

    Anajichosha tu,anataka kuvuruga lakini kakuta watu wako kwenye msimamo wao.hana jipiya zaidi ya kurudia yale yale tu kifupi kaishiwa
  6. M

    Kigoma: Aibu! Lowassa apokewa na watoto Airport

    Acha uwongo kama unataka tukutumie picha za leo hii kigoma uwone watu walivyo funga,watu wamechoka wanataka mabadiliko
  7. M

    CHADEMA: Kauli rasmi kuhusu yaliyotamkwa na Dr. Willibrod Slaa

    Happ nami nawapa pongezi kampeni kwanza mengine badae.Asituchanganye kabisa akajibizane na mkewe
  8. M

    TBC1 warudia tena press ya Dr. Slaa

    Hao lazima warudie rudie lakini hatubadiliki ng'ooo Alipo tupo
  9. M

    Kuna mwanasiasa mvumulivu kama Lowassa?

    Kwa kweli Lowasa anasihili pongezi,kwa kweli mpaka wtt wadogo ambao wamemkuta kwenye siasa eti leo wanamtukana yaani!!hongera sana kamanda
  10. M

    Magufuli hakujiandaa kuwa rais, atatuangusha tu

    labda kampeni ikianza atajieleza vizuri
  11. M

    Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

    Anapumzika au mmemnyima Uraisi?na ndo mana ameamua kujiondokea zake
  12. M

    Anatafuta mwanaume wa kumuoa

    Anitafute faster
  13. M

    Nape Nnauye ahojiwa na TAKUKURU kwa masaa 5

    Weka lupango kabisa hao takukuru wanasubiri nn?au na wao wanatengeneza mazingira?yakupewa rushwa
  14. M

    Anna Kilango atiwa mbaroni kwa tuhuma za kutoa rushwa

    Rushwa rushwa rushwa,sasa mbona hao ndio vidomo domo sana CCM kwa rushwa duuh!sijawahi ona
Back
Top Bottom