Kuna mwanasiasa mvumulivu kama Lowassa?

Kuna mwanasiasa mvumulivu kama Lowassa?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,616
Reaction score
164,652
Naomba kama kuna mwanasiasa mwenye uvumilivu kumzidi Lowaasa tumtaje.

Huyu mh.ana uwezo mkubwa sana wa ku-control feelings zake na kusonga mbele akilenga kutimiza ndoto zake.
 
Mimi kwa kwel nimetoka kuongea na mshikaj wang hapa nikimwambia lowassa ni mvumilivu sana yan
 
Kwa kweli Lowasa anasihili pongezi,kwa kweli mpaka wtt wadogo ambao wamemkuta kwenye siasa eti leo wanamtukana yaani!!hongera sana kamanda
 
Eti hata Slaa naye anapata nafasi ya kumtukana Lowassa. Nimecheka sana.
 
Kwa kweli Lowasa anasihili pongezi,kwa kweli mpaka wtt wadogo ambao wamemkuta kwenye siasa eti leo wanamtukana yaani!!hongera sana kamanda

Kwa jinsi lowasa alivyofuatwa na vyombo vya habari kuanzia dodoma ,na hii kashfa ya kuhamia cdm nadhani angekua na kitu cha maana angelikuwa ameshaajibu kijinasua na hiikashfa
 
Unaweza kukaa kimya si kwakuwa ni mvumilivu la hasha bali kwa kuwa huna la maana la kujitetea,
 
CCM walitoa rushwa kwa Lipumba ili kuvuruga upinzani lakini mbinu hiyo haikulipa! Wananchi wakamdharau na Ukawa ikasonga mbele. Sasa CCM wameibuka na mbinu ya Penati ambapo Dr Slaa ndiye mpigaji penati wao. Je atafunga goli?
 
Back
Top Bottom