Kama Elimu ni bure, kwanini wachelewe? Hata hivyo mbona adhabu ya kawaida sana, kwasababu wengi wao baada ya kuwa wamehitimu elimu yao ya msingi ni wakulima tarajiwa
Hakuna mwanaume anayekataa mtoto mkuu! Ila mama zao wanawakatalia, hawahitaji hata baba zao kuonana na watoto wao. Zaidi ya hapo hata baba anawajibika kwa kiasi gani provided hakai na yule mtoto, mathalani anamtumia mama yake matumizi ya mwanae, mama anajificha kwenye kichaka cha kuwa yeye ndo...
Una point ya msingi! Swali langu kwako, Kwanini Maharage Chande kaondolewa na kuwekwa mtu mwingine? Kama issue ni maintenance na si utendaji kazi mbovu, kwanini bwana Maharage asingeendelea kuwa Mkurugenzi???
Kama lengo lako ndo hilo, basi usiwe unaweka namba ya simu. Ni ushauri tu, hii dunia ni duara, leo uliye muanzishia uzi kuwa ni mropokaji, kesho unaweza kuta ndo kashika mpini
Maslahi yako binafsi unayataka sana ndg Lucas Mwashimba, ndo maana kwa kila mada unayoiweka hapa jamvini ni lazima uweke namba yako ya simu. Kama ingekuwa ni kwa maslahi ya Taifa usingekuwa unaweka namba ya simu kwenye mada zako.
Kama kweli wewe ni mwanaume basi mwenye hayo maamzi ya kuzaa either mtoto wa kike ni wewe mwenyewe wala siyo mke wako au Mungu wako. Nakukumbusha tu wewe unazo sex chromosomes mbili tofauti ambazo ni XY, na mke wako anazo chromosomes mbili za kufanana, ambazo ni XX, hivyo bac kazi ni kwako
Watu wanacho taka ni maendeleo, maitikadi yenu ya vyama wala hayasaidii chochote, CCM ikishinda sawa ili mradi tu ilete maendeleo kwa wananchi wake, CHADEMA ikishinda sawa tu ili mradi ilete maendeleo kwa wananchi wake. Dhima kuu ya uongozi ni kupeleka maendeleo kwa wale unaowaongoza
NB...
Anayetengeneza hicho kizazi cha majambazi ni mzazi mwenyewe, kwasababu anashindwa kumlea mtoto wake kwenye maadili yanayo takiwa, mfano mtoto amefanya makosa shuleni mwalimu amempa adhabu kwa lengo la kumsaidia mzazi kumuweka mtoto kwenye utaratibu, mzazi huyo huyo ndo mtoa matusi kwa mwalimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.