Wengi wanaofanya hii michezo wanatumia majina yao binafsi sio kampunin hawa watu wako wengi kwenye mitanda ya kijamii.
Wanchukua picha sehemu kisha wanaweka nusu bei, wanalipia hadi matangazo sponsored tangazo lina viler baada ya muda lazima usikie milio mtaani.
Bongo bado sana hivi vitu i see.Watu bado wanaamini katika kuajiriwa viwandani na kufanya biashara sehemu zenye mikusanyiko kama kkoo sio online.
Ukianzisha blog website au e-commerce ujue imekula kwako utaishia kulipa kodi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.