Recent content by meruly

  1. M

    JamiiForums Tanzania Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

    Mashine za JUKI kwajili ya kufundisha wanafunzi shuleni ufundi stadi, tunaweza pata machine za cherehani pcs kama 100 za kuanzia. Mashine za kushana Overlock Kudalizi Kutoboa na kushano vishikizo Mashine zenye speed kiutendaji
  2. M

    JamiiForums Tanzania Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

    Hii ya mkopo iweke wazi mkuu.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu uagizaji magari kutoa Japan au Afrika Kusini

    Nilipa Magari,tumeagiza mengine
  4. M

    JamiiForums Tanzania Huduma ya usafirishaji wa magari kutoka Afrika Kusini - Tanzania

    Kema boss?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Orodha ya makampuni legit yanayota huduma za online business

    Wengi wanaofanya hii michezo wanatumia majina yao binafsi sio kampunin hawa watu wako wengi kwenye mitanda ya kijamii. Wanchukua picha sehemu kisha wanaweka nusu bei, wanalipia hadi matangazo sponsored tangazo lina viler baada ya muda lazima usikie milio mtaani.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Huduma ya usafirishaji wa magari kutoka Afrika Kusini - Tanzania

    Pamoja Geabox yake naomba bei
  7. M

    JamiiForums Tanzania Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

    Habari boss! Nitapa Engine ya 1HZ used Japan kwa bei gani?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Huduma ya usafirishaji wa magari kutoka Afrika Kusini - Tanzania

    Nashida ya Engine ya Landcruiser 1HZ nitapata kwa bei gani?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Internet mtaani

    Mbona kama mkoje ya utaratibu?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    Leo nimecheka sana
  11. M

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    25kg nimepokea 23 hivi kweli utumbo kg 2?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    Kuna tofauti gani nikinunulia hapa Dar?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Pata samaki fresh kutoka ziwa Victoria

    Sato kg 25 gharama zote hadi Dar bei gani?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Unahitaji nini kutoka South Africa?

    Nashida na Juice pamoja na wine kubwa za lita 5.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

    Boat Inahitajika Haraka sana. boat kama hii nitapata kwa bei gani?
Back
Top Bottom