Recent content by MeruA

  1. MeruA

    Sahihi kusema Arusha ndio Jiji bora Tanzania?

    Pengine labda sijatembea sana Arusha,lakini kote nilikopita hakuna maajabu sana na mitaa mingi barabara zake ni mbovu sana,najiandaa kwenda tena this May nataka nikazunguke sehemu nyingi kidogo.
  2. MeruA

    Naomba msaada wa kifedha nilipie pango. Mwenye nyumba kaja kutoa vitu

    Mwenye nyumba kaja kutoa vitu vyako,anakudai 250k na mfukoni una 150k,fanya kitu kimoja Chukua vitu vyako kaviweke kwa rafiki yako,hiyo 150k usimpe mwenye nyumba jifanye umekosa hata mia. Nenda katafute chumba kingine cha 30k lipia miezi minne 120k, 30k bakiza ya dharula maisha yanaendeleaa.
  3. MeruA

    Wadada acheni hii kitu

    Mwanamke ambaye hujawahi hata kumkiss hatakiwi kula hela zaidi ya vocha,akisema hana salio muunge kifurushi cha wiki uhakikishe mpaka muda wa kifurushi unaisha uwe umeshamla.
  4. MeruA

    Ulaaniwe umasikini! Kuwa jobless umekuwa mzigo mzito sana kwangu

    Ila haya maisha jamani acheni tu,hakuna siku mwanaume utasema upumzike kila siku ni kukimbizana na ridhiki tu,yaani weekend ukiona inasogea kumbe ndiyo inaishilizia,mwanzo nilikuwa naamini siku nikijenga kwangu nitapata muda wa kupumzika kumbe wapi ndiyo kwanza majukumu yameongezeka. Gharama za...
  5. MeruA

    Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

    Mchungaji/Padri akitaka gari au nyumba mnamchangia. Muumini/mshirika ukitaka gari au nyumba unaombewa[emoji3][emoji3][emoji3] Aliyezileta hizi IQ yake ni ya sayari nyingine kabisa.
  6. MeruA

    Ushauri: Mke wangu kaondoka usiku huu

    Kuna kaukweli kwenye maelezo yako. Mimi enzi za ujana wangu nilikuwa mzinzi kuliko hata neno uzinzi lenyewe,nilikuwa natembea mpaka na wanawake watatu kwa siku moja,hata sikuwa na hela sema nilikuwa na ushawishi tu kwa wanawake. Kuvaa vizuri,kunukia vizuri,kunyoa vizuri na kuwa smart mdomoni...
  7. MeruA

    Jinsi ya Kushughulika na Mtoto Mwenye Milipuko ya Hasira

    Yaani kukemea upuuzi wa mtoto wangu mpaka nipitie procedures [emoji3][emoji3] Wazungu wanatuharibia jamii
  8. MeruA

    Ninamkumbuka mwanamke niliyeachananaye japokuwa nilishaoa tayari

    Mliachana au uliachwa? Ulioa kwa kupenda au ulioa ili kumkomoa aumie?
  9. MeruA

    Wana JF yamenikuta ya huyu binti mwenye mtoto, tafadhali naombeni ushauri

    Nilitaka nikupe ushauri lakini uliposema ni binti wa 2000. Nikaufuta kabisa ushauri wangu. Mkuu nasemajeeee"fata moyo wako unavyotaka".
  10. MeruA

    Vijana waliooa wanakwaza sana

    Tangu nilipooa 9 yrs ago ukaribu na washikaji ambao hawajaoa ulipungua sana na wengine uliisha kabisa,wakabaki wachache ambao tunakutana sehemu za utafutaji. Nikikutana na jamaa yangu ambaye hatujaonana muda,lazima tu nitamuuliza vipi family hawajambo?akisema tu hajaoa basi ni bora zaidi...
  11. MeruA

    Zanzibar tunaheshimu uhuru wa kuabudu, lakini lazima tulinde utamaduni wetu

    Hizi dini zilioletwa na waarabu na wazungu zinawatesa sana.
  12. MeruA

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1316]
  13. MeruA

    Msaada: Namna ya kufanya booking ya tiketi ya ndege kutoka Mpanda kwenda Dar

    Uwanja wa Mpanda umeshaanza kufanya kazi? Mwaka 2018 nilienda kikazi kipindi hicho barabara ya lami ilikuwa haijakamilika hata Sikonge ilikuwa bado haijafika,aisee msoto nilioupata wakati wa safari siwezi kusahau m,tulitoka stand ya Tabora kwenye saa 10 jioni usiku kucha tuko porini tulifika...
  14. MeruA

    Usitengeneze mahusiano na mtu anayekupiga mizinga muda wote

    Nia yetu njema kwa akina dada inaharibiwa na mizinga isiyo na maana. Kuhudumia ni wajibu wetu lakini kuna muda unaona kabisa kwa staili hii hatuwezi kuyafikia malengo.
  15. MeruA

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Sijajua wewe na mimi ni nani anayemjua vizur mke wangu. Anyway basi sawa.
Back
Top Bottom