Kumekua na jitihada mbalimbali zikifanywa na watu katika kujiweka sawa kuendana na mifumo ya maisha kwa kufuata elimu za msingi, sekondari na za kati pia elimu ya juu na hata mafunzo ya ufundi hayo yote ili kupata sifa na vigezo vya kujiweka sawa kimaisha.
Lakini ukweli kwamba juhudi na...
Naamini vijana wengi wanajitenga na kutojihusisha na siasa au katika vyama vya siasa na shughuli zake huku wakiamini kua wao sio sehemu ya itikadi hiyo
Ila ukweli kwamba kulingana na mifumo ya maisha ilivyo siasa ndio inayo amua maisha yote kwa wale vijana wasio shiriki na wanao shiriki
Hivyo...
Nafikiri sasa wadau kushirikiana na serikali upo umuhimu zaidi kutoa elimu ya afya kuhusiana na homa ya ini.
Maana ili jambo kiukweli kwa sasa imekua ni hatari kubwa kwa afya za watu na takwimu nilizo nazo kulingana na utafiti wangu binafsi inaonyesha watu wengi bado atuna uelewa juu ya tatizo...
Kutokana na kuwepo taasisi nyingi za kiserikali katika usimamizi juu ya kilele wanachokiita usimamizi bora ya matumizi sahihi ya barabara na vyombo vyake.
Kiukweli imeamua changamoto sana kwa sisi madereva hasa ikizingatiwa kila taasisi imekuwa ikiitajia hela kwa kile wanachokiita ada hivyo...
Nina shauri utoaji wa leseni za udereva wa magari hasa kwa magari ya usafirishaji mizigo
Kuwepo chuo angalau kila mkoa kwa ajili ya kutoa mafunzo hayo tofauti na ilivyo sasa ni Morogoro Kihonda au Dar es salaam Chang'ombe pekee.
Hali kama hii inachangia upatikanajia wa leseni nyingi ambazo sio...
Jinsi mifumo na michakato ya namna ya kuajiri wafanyakazi katika kada tofauti za serkali imekua sio kuangalia sifa na vigezo thabiti
Kwenye Halmashauli za wilaya,
Bali nani ana kufahamu au wewe ni mtoto wa nani na hiyo ni nje ya Rushwa
Ila Kama ujulikani na wale wasaili hata kama unavigezo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.