swali zuri ndugu yangu king'asti kama umeuliza kwa nia ya kutaka kujua utajua lakini kama umeuliza kwa ufedhuli wa kinafiki hautahambulia chochote utabaki na giza lako.yesu alizaliwa miaka 500 kabla ya mtume na alipoondoka ilipita miaka 500 ndio akaja mtume.tofauti iliopo ni kwamba yesu alikuwa...
Mi nataka kuuliza yaani huko kuzimu wamemfundisha alenge makanisa tu na ulokole huu huu ulioanzishwa na marekani?? au kuna propaganda hapo ya kujipigia debe ili mpate wafuasi wengi muwaibie hela zao kwa michango na sadaka na kuwaponda wapinzani wenu??!! mtawadanganya hao hao mazombi mi hamnipati...
nafikiri haujaelewa tpic vizuri dada,mwanamke mwenye hela anakimbiliwa sana na wanaume wasio na hela si kwa kuoa bali hao jamaa wanataka kujikwamua kwa muda kiuchumi na wakishatimiza lengo lao yaani kupata mtaji basi huwabwaga chini madem hao hao wenye hela na uenda kuwaoa wanawake wasiosoma na...
mbaya zaidi hao wa north sudan wakienda nchi za gulf kama saudi arabia na yemen huwa wanakataliwa kuitwa waarabu wamewapachika jina lao wanawaita ibun muthnuk yani ni wana-haramu wakubwa,na wasomali wakienda yemen wanaitwa abdi yaani watumwa au al-khadam yaani watumishi,kwanini wanang'ang'ania...
tazameni huu hivi kwa akili zako kati ya tz na somalia wapi kuna mashoga wengi?? nenda uone huko somalia ni mashoga kiba tena hawajaanza leo tu haka kamchezo bali kalianza tangu kale kipindi uislamu unaingia kule sasa tangu kipindi hicho hadi leo mashoga wamejazana tu somalia na kama unabisha...
Wewe al-shabab wa kike wewe ndivyo mnavyojidanganya hivyo eti tukizusha ishu ya uzalendo na utaifa wa mtu kutabaki tz hakuna mwenyewe!!?? sasa makabila ya tz kama ni hivyo yalitoka wapi?? na huko yalikotoka una hakika kabisa kwamba ndio kwao??
Tz ina wenyewe ambao ndio sisi tunaohoji ishu za...
Nafikiri we kabinti utakuwa msomali au una asili ya huko. Sasa ishu ya kuwafananisha wasomali na waarabu ni ya wapi na wapi?? Hawa ni watu wa-2 tofauti wasomali hawali hivyo unavyosema wewe vyakula vyao ni vya kimasikini sana hata ukimwambia apike biryani hawawezi au atakupikia wali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.