Recent content by Mentali

  1. M

    Nilikataa uchungaji nikawa mkuu wa wachawi

    swali zuri ndugu yangu king'asti kama umeuliza kwa nia ya kutaka kujua utajua lakini kama umeuliza kwa ufedhuli wa kinafiki hautahambulia chochote utabaki na giza lako.yesu alizaliwa miaka 500 kabla ya mtume na alipoondoka ilipita miaka 500 ndio akaja mtume.tofauti iliopo ni kwamba yesu alikuwa...
  2. M

    Nilikataa uchungaji nikawa mkuu wa wachawi

    Mi nataka kuuliza yaani huko kuzimu wamemfundisha alenge makanisa tu na ulokole huu huu ulioanzishwa na marekani?? au kuna propaganda hapo ya kujipigia debe ili mpate wafuasi wengi muwaibie hela zao kwa michango na sadaka na kuwaponda wapinzani wenu??!! mtawadanganya hao hao mazombi mi hamnipati...
  3. M

    Eti wanawake wenye kipato kisichopungua Milioni 3 kwa mwezi hawaoleki…!

    nafikiri haujaelewa tpic vizuri dada,mwanamke mwenye hela anakimbiliwa sana na wanaume wasio na hela si kwa kuoa bali hao jamaa wanataka kujikwamua kwa muda kiuchumi na wakishatimiza lengo lao yaani kupata mtaji basi huwabwaga chini madem hao hao wenye hela na uenda kuwaoa wanawake wasiosoma na...
  4. M

    Rage: Hivi Haya Ni Kweli Jamani?

    wasomali bwana!!!
  5. M

    Rage: Hivi Haya Ni Kweli Jamani?

    mbaya zaidi hao wa north sudan wakienda nchi za gulf kama saudi arabia na yemen huwa wanakataliwa kuitwa waarabu wamewapachika jina lao wanawaita ibun muthnuk yani ni wana-haramu wakubwa,na wasomali wakienda yemen wanaitwa abdi yaani watumwa au al-khadam yaani watumishi,kwanini wanang'ang'ania...
  6. M

    Hivi ni kwanini wanawake wenye makalio makubwa wanapendwa sana siku hizi?

    dah!!kumbe na wewe una makalio makubwa siyo?? naku-pm basi.
  7. M

    Rage: Hivi Haya Ni Kweli Jamani?

    wasomali bwana
  8. M

    Uchawi niliowahi kuushuhudia!

    inachonitisha Tanga ni uwepo wa majini mengi sana kulle kunatisha.
  9. M

    Rage: Hivi Haya Ni Kweli Jamani?

    tazameni huu hivi kwa akili zako kati ya tz na somalia wapi kuna mashoga wengi?? nenda uone huko somalia ni mashoga kiba tena hawajaanza leo tu haka kamchezo bali kalianza tangu kale kipindi uislamu unaingia kule sasa tangu kipindi hicho hadi leo mashoga wamejazana tu somalia na kama unabisha...
  10. M

    Rage: Hivi Haya Ni Kweli Jamani?

    Wewe al-shabab wa kike wewe ndivyo mnavyojidanganya hivyo eti tukizusha ishu ya uzalendo na utaifa wa mtu kutabaki tz hakuna mwenyewe!!?? sasa makabila ya tz kama ni hivyo yalitoka wapi?? na huko yalikotoka una hakika kabisa kwamba ndio kwao?? Tz ina wenyewe ambao ndio sisi tunaohoji ishu za...
  11. M

    Rage: Hivi Haya Ni Kweli Jamani?

    Jiandae na wewe mana fagio la chuma litakalo wafagia wasomali wote liko njiani laja.
  12. M

    Rage: Hivi Haya Ni Kweli Jamani?

    Nafikiri we kabinti utakuwa msomali au una asili ya huko. Sasa ishu ya kuwafananisha wasomali na waarabu ni ya wapi na wapi?? Hawa ni watu wa-2 tofauti wasomali hawali hivyo unavyosema wewe vyakula vyao ni vya kimasikini sana hata ukimwambia apike biryani hawawezi au atakupikia wali...
  13. M

    Mabadiliko toka analojia kwenda dijitali. Je? Serekali ilijiandaa kiutafiti?

    mi nakwambia hivi hawakujiandaa mana walikurupuka tu,sababu mi namajukumu ya familia hata hela sina nasubiri wazime tu hiyo mitambo yao.
  14. M

    Rage: Hivi Haya Ni Kweli Jamani?

    we hata usipowabagua sasa wasomali subiri wakubague wewe tu.
  15. M

    Rage: Hivi Haya Ni Kweli Jamani?

    mi ni mbantu pure ila wasomali nchi hii hawatufai kabisa.
Back
Top Bottom