Msinikumbushe hao viumbe ni watamu kinoma tena ile staili ya katerero inarusha handazi yani digirii 200.Kuhakiki mwenyekupenda aende pale Temeke sudan mkabala na gadeni mbele kidogo ya hoteli ya jiraf.Yani ingia chocho tu utakumbana na vibanda tena milango wazi.
Mheshimiwa waziri Magufuli kuna baadhi ya makandarasi ambao hawafai hata chembe yani kupewa ukandarasi hata kidogo.Yani mtu kujaza vifusi na kushindilia kilometer kumi tu anatumia miezi minne je km mia si atachukua miaka 100.Bora kazi wapewe wachina.Mheshimiwa waziri tunateska na vifusi ktk eneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.