1. nafikiri Dar-Es-Salaam sasa hivi imewazid kenya kwa kunywa bia na nyama choma au inakaribia...watu bongo hawapendi disco kama kenya na uganda...huku wanapenda kuchill kwenye ki bar ili mradi kina parking na kuweka vyuma mpaka monie...Club zinajaa bar ya nje kuliko disco ndani...
2. Mwisho tunatisha kwa kukamatwa na madawa ya kulevya
2. Mwisho tunatisha kwa kukamatwa na madawa ya kulevya