Recent content by mendezz2009

  1. M

    2000 corolla spacio

    nyc car, best price. madalali dili hilo
  2. M

    2000 raum for sale

    wabongo bwana!!! mtu asipoweka sababu ya gari kuuzwa mnafikiria mbovu, akiweka mnaongea vitu ili mradi tu muongee. dully mo upo sawa bro mie sioni kama umefanya vibaya kutoa sababu ya kuuzwa hiyo gari. bei pia ni nzuri
  3. M

    Unataka kuagiza gari??... pitia hapa kwanza

    nimecheka sana niliposoma kwenye gazeti kuna watu wameibiwa kwa kununua magari mtandaoni. dully umeongea ukweli ila watu wabishi
  4. M

    Unataka kuagiza gari??... pitia hapa kwanza

    duh how comes jamaa mmoja alinunua kwa milioni 9? Watu wanapata faida kweli. Gari ya mili 6 wanauza mil 9? Huu si ufisadi
  5. M

    nyumba inahitaji mwekezaji kariakoo

    nyumba ipo kwenye kona karibu na soko la kariakoo! ni sehemu iliyochangamka sana kwa biashara. nyumba za karibu yake kodi kwa kila fremu ni kati ya 300,000 mpaka 700,000 kutegemea na ukubwa wa fremu. nyumba ikishajengwa ina uwezo wa kutoa fremu 10 hadi 18 kutegemea na ramani yake. masharti yao...
  6. M

    Unataka kuagiza gari??... pitia hapa kwanza

    kumbe sio mchoyo wa ujuzi
  7. M

    nadia nyingine inauzwa ya bei poaa

    dully mo vp hii gari bado ipo mkuu?
  8. M

    2001 NADIA 3S NZURI sana hasa kwa MADUU

    ebwana hiyo machine kali sema imekuja kipindi kibaya. kuna demu m1 nilimsikia anatafuta rav 4 ngoja nimsomeshe aichukue hii. najua sikosi cha udalali japo laki 5
Back
Top Bottom