Na kwa kuongezea hapo kuna jamaa kaka yake ni kitengo fulani sasa kuna zile nafasi zilitoka mwezi wa 6 zile ajira nyingi lakini tunajua bado hawajaita majina ya interview kwa kada yake ila cha ajabu jamaa kashaenda kuripoti kazini mkoa X na kazi kaanza tayari[emoji16][emoji16] huku watu...
Alafu post za kazi zinakuja kutoka diploma wanatakiwa watu 360 degree 5 ndo utajua hujui kwa tanzania option ya diploma ndo nzur kuliko hiyo ya advance kama unataka mwanao asiteseke sana kwenye ajira ila kama unaangalia kufika degree kwa haraka basi nenda tu advance
Huyu wa mifugo hata mimi namuunga mkono kusomea udaktar wa mifugo kwa level ya diploma tanzania hata usipoajiriwa huwez kufa njaa nina mwaka 5 sasa sijaajiriwa lakin naishi vizuri tu kama nimeajiriwa vilee
Mzee kama huna uhakika bora unyamaze tuu connection ipo na watu wanatembeza vi memo kwelikweli kuna mtu alimface katibu mkuu wa wizara fulani walikutanaga kwenye semina moja iv akajaribu kumchomekea alichojibiwa ni kuwa yeye aombe tu ila kuna vimemo kutoka kwa mawaziri fulani vya kutosha tu so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.