Kimsingi haiwezekani kuongeza jina kwenye cheti ambacho tayari umeshapewa (i.e. Cheti cha kuzaliwa au cha kuhitimu elimu.
Kama umekuwa ukitumia majina mawili (i.e. Differential Equations) na sasa unataka unataka kutumia majina matatu (i.e. Differential Algebra Equations), unachoweza kufanya ni...
Kuweka mwanasheria kuna gharama pia:
1. Mtatumia muda mrefu mpaka kupata hio court order
2. Na huyo mwanasheria nae itabidi alipwe
Kwanini msimalizane tu na polisi kama wao wapo tayari kwa hilo?
ahsante mkuu lkn GPA ya 5 ndo minimum requirement ya UDSM na Mzumbe ni 4.5 sasa kulingana na ushindani uliopo naona chances zangu ni ndogo ndio maana natafuta plan B
hahahaa... No thanks, alafu dont bother commenting on this post! Nmeona trend ya comments zako katika threads nyingine, ww naona huna msaada kwangu.. Infact hujajibu swali lolote kati ya hayo niliouliza hapo juu!
Wadau, mimi nimemaliza form 6 mwaka huu nmesoma HGL na ndoto yangu ilikua ni kusoma LLB lakini kwa matokeo mabovu niliopata Div III.13 naona sitaweza kupata nafasi ya LLB, kuna mtu amenishauri nisome International Relations lakini mm sifahamu chochote kuhusu hii course zaidi ya kujua kuwa...
hapo hakuna ki2...! CCM baada ya kuona wamepoteza their fame, kwa sasa wanatafuta umaarufu wa panya (kazi kujipitisha pitisha waonekane) their central idea ni kumake headlines kwenye media...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.