Tukatafute kwanza msiba wa katibu ulipo, kisha tuje kujadiliana.Huenda katibu yupo hai, hahusiki na hajaandika ila ni moja kati ya michafuano ya kitaasisi.Na masanja atakua kuna analolijua.hivyo mumuombee.
Yupo bwana mmoja anaitwa Ramadhan Senkondo amebuni mashine ya kuchimbia visima ya kwake hapa msamvu morogoro na inafanya vizuri sana,ni mfano wa kuigwa na ni mbunifu ambaye serikali ingetakiwa kimuwezesha huenda angefika mbali sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.