Recent content by Menas12

  1. M

    SMS nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu zimenistua

    Kwenye simu ya mkeo ulikua unatafuta nini?
  2. M

    TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

    Huu Uzi ni wa muda mrefu kama sikosei,ulifuatana na wa mtoto wa davido
  3. M

    Kisutu: Ajali ya Mwendokasi makutano ya Jamhuri na Morogoro Road

    Unahukumu picha,je,unamaelezo yeyote ya kina kuhusu hiyo ajalj?au tuu team roho mbaya.
  4. M

    Amemenyewa ila bado ana imani

    Tukatafute kwanza msiba wa katibu ulipo, kisha tuje kujadiliana.Huenda katibu yupo hai, hahusiki na hajaandika ila ni moja kati ya michafuano ya kitaasisi.Na masanja atakua kuna analolijua.hivyo mumuombee.
  5. M

    HIMARS ni nini?

    Unataka kumiliki ya kwako?
  6. M

    Hatimae leo nimetua Toronto Canada

    Afya yake ilikua sio nzuri siku kadhaa nyuma hebu kamkague utupe mrejesho
  7. M

    Ni zipi faida za kutoa mahari?

    Watatuua mbwa hawa.Kisa wamelipiwa mahari.
  8. M

    Mashine ya kuchimba visima Morogoro!

    Yupo bwana mmoja anaitwa Ramadhan Senkondo amebuni mashine ya kuchimbia visima ya kwake hapa msamvu morogoro na inafanya vizuri sana,ni mfano wa kuigwa na ni mbunifu ambaye serikali ingetakiwa kimuwezesha huenda angefika mbali sana.
Back
Top Bottom