Recent content by memory card

  1. memory card

    Msaada nataka kuchukua degree yangu hapo Open University shida masharti yao

    Nilimaliza kidato cha nne kwa ufaulu mbaya nikiwa na D3 tu nyingine zote F miaka mingi kidogo iliyopita, nikajiendeleza certificate na sasa nina diploma nikiwa na ufaulu wa diploma GPA ya 3.5, nataka nikajiendeleze nichukue degree Open University ila vigezo wanasema siwezi kujiunga kwa sababu...
  2. memory card

    Msasda jinsi ya kuunganisha UPS na desktop

    Nina SMART UPS C (APC) Hii ni kama back up ya umeme kama unatumia umeme ukakata kama ukiconnect hii desktop haizimi ni mpya kabisa Tatizo sijajua kuiunganisha ili desktop ichukue moto. Mwenye uzoefu anipe madini wakuu
  3. memory card

    Ukitaka kujua kama simu ni ya mkopo haijamaliza deni unafanyeje ?

    ukipata simu cha kwanza ingia setting ya simu yako nenda kwenye device admin kama ni ya mkopo utakuta kimewashwa kama sio ya mkopo utakuta kimezima
  4. memory card

    Google (GMail) imekuwaje?

    tumia browser ku log in halafu zima au switch off 2 step verification halafu tengeneza au create passkey
  5. memory card

    Tusanue apps zipi unatumia zinakurahishia kwenye nyanja tofauti

    ni app ya meseji hiyo kuna setup ukifanya hata simu umuachie mkeo au mshangazi wako mwaka utatumiwa meseji za mademu hazioni ata itumwe muda huu na simu anayo kaishika kwenye meseji ngoma haitokei kwenye chatbackground ila ukiishika mwenyewe chap unasoma akija gafla unagusa fingerprint...
  6. memory card

    Msaada wa ushauri kuhusu suala la hili la upimaji wa ardhi

    nafikiri tujikite kwenye hoja ya msingi hayo mambo ya ft or what mimi ndo niko site wakuu huu uwanja ni mkubwa kwangu imagine niliuziwa 1000000 (1million) mi nimekata hiyo miguu 20 nikala 1020000
  7. memory card

    Msaada wa ushauri kuhusu suala la hili la upimaji wa ardhi

    Salam, Ndugu zangu naomba ufafanuzi wa kitaalamu nilinunua kiwanja ambacho kimepimwa kabisa na kiukweli kilikuwa kikubwa sio mtaalam sana ila wakati tunahesabu hatua ilikua 60 kwa 40 na kipo kwenye makazi ya watu kiufupi kamji kanakuwa kweli huku kwetu swax. Nilivyoona hiki kiwanja ni kikubwa...
  8. memory card

    Hivi mikopo ya Diploma imetoka? Niki log in wanasema wait next stage

    Hivi mikopo ya Diploma imetoka maana niki log in wanasema wait next stage Kuna mwenye amepata ujumbe wowote?
  9. memory card

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    chelsea inaweza kuendelea kusajiri ndo kwanza imetumia 58
  10. memory card

    Wapi nitapata wino wa printer canon Pixma MP 280

    Wadau habari mwenye kujua nitaupata wapi au unaingiliana na printer ipi maana nilipo hakuna kabisa huku.
  11. memory card

    Hivi hakuna maujanja yoyote ya kuweka Password kwenye SMS tu pasipo kutumia Applock yoyote?

    uwe una screenshot ingia kwenye setting ya secret chat tukupe vitu mzee mwezetu
  12. memory card

    Hivi hakuna maujanja yoyote ya kuweka Password kwenye SMS tu pasipo kutumia Applock yoyote?

    tumia hii app inaitwa mood sms, ni noma kwanza kama kuna namba zako za majanga unaziweka kwenye secret chat maana yake hizo namba hata watume meseji 100 halafu simu kaishika wyfe haina notification, na wala screen haiwaki na akicheki kwenye sms box kuna meseji za voda tu utazionaje hizo...
Back
Top Bottom