Habari humu, naombeni mwenye connection ya ajira yoyote kwa Iringa mjini. Ni mama wa nyumbani natamani nitoke nikajishughulishe maisha magumu. Elimu yangu ni Degree
Habari zenu wadau..
Nina mtoto ana umri wa miaka sita. Huwa nina tabia ya kuwakagua wanangu ili kubaini kitu cha tofauti kama mzazi. Ni muda sasa nimegundua anatoka uchafu wa kijani sehemu ya uke. Nasema wa kijani sabuni kichupi chake kinakua na rangi ya kijani kwa mbele.
Naomba utaalam katika...
Hili tatizo limenisumbua pia jaribu kujaza tena kama walivokuelekeza hapo, nilihangaika sikuelewa pia lakin mwisho wa siku nilivojaza walivotaka ilikubali
Naomba kujua gharama kwa mtu aliye na corona, baba yangu amelazwa KCMC yaani kila siku gharama hazieleweki kwa siku ya kwanza tu tuliambiwa ni kama1.9 million bado gharama kwa siku nyingine na bima inasaidia kwa kiasi kidogo sana.
Naomba kujua pia na gharama za mitungi ya oxygen.
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.