Habari zenu wadau..
Nina mtoto ana umri wa miaka sita. Huwa nina tabia ya kuwakagua wanangu ili kubaini kitu cha tofauti kama mzazi. Ni muda sasa nimegundua anatoka uchafu wa kijani sehemu ya uke. Nasema wa kijani sabuni kichupi chake kinakua na rangi ya kijani kwa mbele.
Naomba utaalam katika hii ni kawaida au kuna shida?
Nina mtoto ana umri wa miaka sita. Huwa nina tabia ya kuwakagua wanangu ili kubaini kitu cha tofauti kama mzazi. Ni muda sasa nimegundua anatoka uchafu wa kijani sehemu ya uke. Nasema wa kijani sabuni kichupi chake kinakua na rangi ya kijani kwa mbele.
Naomba utaalam katika hii ni kawaida au kuna shida?