Kwann anatuombea mabaya!! Maana ad tufikie point iyo ata ni watu wangap watakuwa wanapata angalau mlo mmoja kwa siku...... Ila vitu vingine visikie bt usiombe kuviona
Makonda kwa mara nyingine anataka kumchomoa Shonza kwenye wizara ya habari kama alivyofanya kwa Nape Nnauye.
Sijui safari hii atafanikiwa? Kama mnakumbukumbu vizuri siku za nyuma Nnauye alipambana na Makonda kwa kumtumia Ruge kama chambo lakini Makonda aliibuka kidedea kwenye hilo pambano.
Kwa...
Kwa taarifa yako kuna wakandarasi wazawa wanaujuzi kuliko hao wachina sema hawana mtaji bt km serikal ungekuwa na nia ingewawezesha kuwapatia mikopo yenye riba ndongo na ndo inyofanya serikal ya watu wa China
Mkuu umeona budget wanayopewa wabongo na hao wachina.... Daaah umekaririshwa vibaya kuwa wa tz hawawezi. Kweli na watu wenye mtazamo km wako ni janga kwa taifa
Mkuu unamaanisha kujitoa fahamu au muhanga. Maana ili maendeleo yapatikane lazima ziwepo Sera za kuinua wazawa wa taifa husika, ndo ata nchi zilizoendelea zilizofanya na sio kuwapatia kandalasi wachina alf utegemee maendeleo kwa wananchi. Maana wao wanapiga mpunga then wanasepa ivyo mzunguko wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.