Chelewa tu,na subiri tu,wakikatiza vipanga haponi utaambulia makombo.Leo hii hii fanya umsubiri mahali omba uongee nae mweleze kilicho moyoni,kesho nikimuona hujamueleza nachukua mzigo naenda NYUMBA ZA WENYEJI wa Dar(guest) kugegeda ubaki ulivyoNdugu wanajamii forum kwanza nawasalimu wote popote mlipo... Huku imani yangu ikiambia hamjambo.
Basi kwa pamoja wanawake kwa wanaume members wa jamiiforum naomba munisaidie njia za kumpata msichana nimpendae. Naamin wadada ndio mtanipa njia mzuri zaidi. Je! Huyo mchumba ulienae au mchepuko ulionao au mume ulienae alitumia njia gani kukushawishi mpaka ukamkubali hadi kufikia hapo mlipofikia??????
Brothers nanyi nisaidie boy mwenzetu njia mzur ya kutumia ili nimpate bint ambae imetokea kumpenda ila nahisi nikimuambia hatanikubali.. Nitumie njia zipi ili nimshawishi anikubali?????
Msaada wenu tafadhali........
Wanakula kula hovyo...Kumla hapana limenenepa sana.manyama kibao limtumbo hiloo ule mvuto wote umepotea.kweli acha waringe tuu sasa hivi hawa madem huwa wanakongoroka vibaya sana
Alikuambia kampendi bibi yako.. [emoji23] [emoji23] [emoji1]Kuna demu nilimwambia nampenda alichonijibu [emoji22] [emoji4] [emoji3]
Bora angeniambia hilo aliniambia anaogopa .... Yaaani Mkuu nikikumbuka na [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji725]Alikuambia kampendi bibi yako.. [emoji23] [emoji23] [emoji1]
Ni kawaida ila huku muadhibu kweli baada ya kukutusi....Bora angeniambia hilo aliniambia anaogopa .... Yaaani Mkuu nikikumbuka na [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji725]
Unajilaumu kabisa, ila hujachelewa....Kuna bidada mmoja hapa jirani yangu toka zamani nampendaa balaa lakini kumuanza ikawa shida.kila nikikutana nae tunaangaliana muda mrefu nikajua tu huyu dada anatamani asikie chochote kutoka kwangu!lakini ajabu nikakaa kimya hata salam hakunaga.baadae jamaa limoja likamuwahi likamzalisha watoto wawili.karibuni hapa ndo tukaanza kusalimiana na kuzoeana!ndo nikamtania nilikuwa nakupendaga weee!akanijibu yaani kipindi kile nikikuona tu nilikuwa naloa.yaani hata ungenishika mkono bila kusema chochote ungenikula
FantasticView attachment 723909fanya hivo
Ndugu wanajamii forum kwanza nawasalimu wote popote mlipo... Huku imani yangu ikiambia hamjambo.
Basi kwa pamoja wanawake kwa wanaume members wa jamiiforum naomba munisaidie njia za kumpata msichana nimpendae. Naamin wadada ndio mtanipa njia mzuri zaidi. Je! Huyo mchumba ulienae au mchepuko ulionao au mume ulienae alitumia njia gani kukushawishi mpaka ukamkubali hadi kufikia hapo mlipofikia??????
Brothers nanyi nisaidie boy mwenzetu njia mzur ya kutumia ili nimpate bint ambae imetokea kumpenda ila nahisi nikimuambia hatanikubali.. Nitumie njia zipi ili nimshawishi anikubali?????
Msaada wenu tafadhali........