Recent content by meliyasumu

  1. M

    Suala la crane kujaza maji bwawa la Nyerere limeonesha ukilaza na ushabiki mbaya

    Tufundishe kunyamaza, wabongo kila mtu ni mhandisi, kocha,teacher,master, na wataalamu wengine wa kola nyanja, mm niliona vision ya makamba kipindi tu alipoteuliwa kuwa kiongozi wa wizara hii Sema wabongo shemeji, ongeeni, mshuteni, msimangeni but this dude January makamba is the best among...
  2. M

    Kumbe Freeman Mbowe hakuwahi hata kumiliki namba ya simu ya Tigo

    Hivi kama unayosema ni mipango ushajiuliza kama ni line ya kuchonga wangeshindwa pia kumtafuta mchongaji? Tuwe realistic inamaana jopo aims la mawakili wa serikali hawana hata chamber ya akili ila wa utetezi ndio wana akili? Tuwe realistic bwana
  3. M

    Rais Samia: Mimi ni Mzanzibari

    Ni lini Watanzania tutaacha kufuata upepo? Kusema yeye ni zanzibar ni kosa? Hivi nani hana asili na kabila? Amesema na mmesikia kuwa yeye hachagui kwa kabila sasa unataka useme yy ni mluguru? Wakati siyo!!!!, jamii ijifunze na mh Raisi ameshasema na ameeleweka mnaotaka kutafuta maana na...
  4. M

    Kwenu CRDB Bank

    Kwanza nianze kwa kuwapongeza kuendelea kuwepo katika biashara ya fedha katika kipindi chote na kuendelea kuwa miongoni mwa Bank bora Tanzania Baada ya Kimei kuondoka Bank iliendelea kuwa strong chini ya mkurugenzi mpya aliyekuwa CRDB mwanzoni na kuondoka kwenda NMB na baadae kurudi kuwa...
  5. M

    Hivi Mwakinyo amepataje ile KO?

    Akipiga au akirusha? Maana pale mwakinyo amerusha ngumi zaidi ya tano hajampiga mpinzani wake kwanini asimamishe pambano? Kwako mwalimu rip kashasha
  6. M

    20,20,60 na namna inavyofanya kazi katika maisha

    Kwanza tumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai,afya silika na tabia njema Miongoni mwa vitu jamii nyingi inavikosa ni kulazimisha kupendwa/kukubarika katika kila hatua anayopitia, na hali hii huleta msongo wa mawazo pale inapotokea hilo hitaji lako linapokutana na vikwazo na kupelekea kujihisi una...
  7. M

    Siri usiyoijua kuhusu ndoto na tafsiri zake

    Huyo mtu aliyebebeshwa maono kwa ajili yangu namjuaje
  8. M

    Siri usiyoijua kuhusu ndoto na tafsiri zake

    Na mm ngoja niseme yangu Niliota nipo ikulu kuna shughuli zinaendelea ghafla akaja askari mmoja akaniambia msafara wa raisi unapita na kweli nikaona iveco ya jeshi imekuja kwa kasi ikiwa na wanajeshi wamejaa basi nikasogea pembeni ghafla akaja yule askari na kikaratasi akaniambia kampe yule...
  9. M

    CRDB kutokutoa notification sms pindi hela ikiingia kwenye account kwa hoja ya kwamba kama kuna mtu alikosea kukutumia utaitoa haraka ni sawa?

    Mtoa mada sms alert ni huduma kama zilivyo huduma nyingine bank inaweza kukupa 1.kwanza hiyo huduma ww mteja unatakiwa uiombe 2.huenda zamani ulikuwa unapata sms notification lakini zipo sababu huduma hiyo huacha kufanya kazi mfano umebadili namba ya simu uliyojiunga nayo kwenye kyc forms hivyo...
  10. M

    Kumbe Askofu Gwajima anaweza kuanzisha chama cha siasa na kikawa na nguvu kuliko CHADEMA

    Aanzishe chama? Utaratibu wa kuanzisha Chama unafikiri unamalizika kwenye makaratasi? Haipo na haitawezekana
  11. M

    Wito: CHADEMA chagueni Mwenyekiti mwingine, Mbowe kutoka ni ishu ya miaka

    Kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu juu ya nafasi ya uhai aliyotupa Kimsingi mm ni miongoni mwa watu wakioshiriki harakati mbalimbali na naomba niwape utofauti kati ya Ccm na Chadema Chadema wamejikita katika nguvu ya mtu wakati Ccm wamejikita katika taasisi Na mfano ni sasa wakati Ccm...
  12. M

    Naachana na harakati za kisiasa Tanzania, hazina faida yoyote

    Harakati za kisiasa maana yake ni nn? Uzalendo wako ni zaidi ya uanasiasa acha uanasiasa jitahidi kuwa mzalendo
Back
Top Bottom