Wanaotarajia ku apply SAUT Mwanza kuweni makini. Kama ni mtoto wa fukara kama mimi usijaribu kuomba SAUT main campus, wapo kimaslai zaidi na hawajali hali ya mtu.
Kwa mfano; Kuna huu mchezo wa kupiga penati, yani ukichelewa kulipa ada wanakupiga penati ya laki moja. Mimi katika kulipia ada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.