TANESCO, mimi ninaishi manispaa ya tabora mtaa wa Kigamboni, mtaa huu hatuna line ya umeme licha ya eneo kupimwa na miundo mbinu nyingine kama maji kupita, tumekua tunaenda mara kwa mara ofisini TANESCO na kila mtu anatoa majibu yake, mara hakuna nguzo, mara tusubili mradi tupo gizani.
Kwa muda sasa hapa mzumbe university pamekua na shida ya fedha za BOOM kupewa kwa wanafunzi husika richa ya serikali kuzituma kwenye chuo husika. Vipi kwenye vyuo vingine na huko lipo
Ni lazima ufanyiwe matambiko,,, na hasa yapo shinyanga na nzega tabora,, wao huita ukango,,, hata modern society naona mnawapeleka mapacha kanisani na kama mmoja hamuwapeleki... Hizo ngoma zipo na kwa kwa mwanza hazipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.