Recent content by meleka

  1. M

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO, mimi ninaishi manispaa ya tabora mtaa wa Kigamboni, mtaa huu hatuna line ya umeme licha ya eneo kupimwa na miundo mbinu nyingine kama maji kupita, tumekua tunaenda mara kwa mara ofisini TANESCO na kila mtu anatoa majibu yake, mara hakuna nguzo, mara tusubili mradi tupo gizani.
  2. M

    Mzumbe tupeni fedha zetu

    Kwa muda sasa hapa mzumbe university pamekua na shida ya fedha za BOOM kupewa kwa wanafunzi husika richa ya serikali kuzituma kwenye chuo husika. Vipi kwenye vyuo vingine na huko lipo
  3. M

    Wosia wa kuzikwa akiwa amekaa watekelezwa Maswa

    Mtemi yeyote lazima azikwe amekaa
  4. M

    Naugua mke wangu akipata ujauzito

    Mkeo akiwa mimba huwa anasumbuliwa na UTI na wewe anakuambukiza ndo maana kiuno kinakuuma
  5. M

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Mbona tv one hamuoneshi baadhi ya visembuse vyenu
  6. M

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Kuna baadhi ya decoder za startimes hazina TV one kwa nini
  7. M

    Mambo kumi usiyoyajua kuhusu marehemu Aboud Jumbe

    Jumbe alizaliwa sudan
  8. M

    Wasukuma na utamaduni wa kutakasa mapacha

    Ni lazima ufanyiwe matambiko,,, na hasa yapo shinyanga na nzega tabora,, wao huita ukango,,, hata modern society naona mnawapeleka mapacha kanisani na kama mmoja hamuwapeleki... Hizo ngoma zipo na kwa kwa mwanza hazipo
  9. M

    Hatimaye serikali yawa sikivu, local channels sasa zimerudi hewani bila malipo

    Where is TV one on star times decorder
  10. M

    Hatimaye serikali yawa sikivu, local channels sasa zimerudi hewani bila malipo

    Mbona Chanel ya TIV ONE haionekani star times
  11. M

    KATI YA HIVI VYUO ARDHI NA SUA

    Housing and infrastructure planning ni course nzuri Sana,,,
Back
Top Bottom