Huyo dada alikuwa ni mtumishi wa halmashauri babati hadi alipoteuliwa kwa nafasi hii. Kama angekuwa amekutwa na makosa ya jinai asingeendelea kuwa mtumishi wa umma
Nilitarajia kabisa mbio za mwenge ama zingedutwa kabisa au zingefanyika kimkoa. Ni upotezaji muda na rasilimali. Mafuta ya magari pamoja na posho na manunuzi yasiyofuta taratibu za manunuzi
Nampongeza sana huyo kijana, ana mawazo ya kimaendeo. Watanzani wengi tumebaki kuwa walalamikaji, hatufanyi chochote tunakaa tu kulalamika. Mtu kaja na wazo, wengine wanamshambulia tu na kumlalamikia badala ya kumpongeza. Hongera sana Mh. Makonda, una maono
Huo Ni uwongo mtupu,Waethiopia Sana furaha gani kutuzidi sisi wakati Kula wakati Kula wakati wanakamatwa wakitoroka nchi Yao, Wakimbizi wa Burundi Sana furaha gani kuliko wtz wanaowapa hifadhi? Ni kiini macho
There are some Tanzanians who need to be colonized.The person who thinks of begging language is having extremly dependent ideas that are no longer needed in our country. We should think on how to tape our resources instead of sharpening our begging skills
Haiwezi kuingia akilini wafanyakazi 1300 wanazalisha vitambulisho 1200 kwa siku. Ina maana wafanyakazi 1200 Kula mmoja anatengeneza kitambulisho kimoja kwa siku!! Wengine 1000 wamebaki
Mie naona Ni vizuri aweke vizuri masuala ya ndani kabla ya kufikiria kutafuta misaada. Ni ujinga Sana kufikiria misaada badala ya kusimamia vizuri rasilimali zilizopo ndani ya nchi. Kwa mawazo tegemezi kamwe hatataendelea. Wenye mawazo hayo washindwe na walegee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.