Ukifanya trip hiyo ndefu mara moja kili wiki mbili kuna haja ya kufanya DPF delete?
Na nikichukua gari bandarini lazima nifanye hiyo deletion?
Ahsante mkuu
Youtube kuna mjamaa ana video ana rate watu wa fiver, upwork etc. Wa bei tofauit tofuit from cheapest to highest. Anawapa the same project na baadae anaonesha results za kila mtu. Ungeona utumbo wa hao watu wa $25 utafurah mwenyewe
20Tshs per sms. Unaeza lipia post paid pia. Sender name kama hilo jina la kanisa lenu ni bure. Na unapata huduma ziada bure kama ku prune contact zako kutoa namba ambazo hazipokei sms ili kuokoa gharama zako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.