Nikiwa kama mwanamabadiliko na kwa moyo wangu wa dhati naomba nitoa shukrani za dhati kwa watanzania wa mikoa hii miwili kwa mwamko waliouonesha kuchukia serikali mbovu ya ccm na kumkaribisha kwa mapokezi ya kishindo Mh. Edward N. Lowasa. Siyo kwamba nailaumu mikoa mingine bali nawapa changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.