Ila UWATA kule wao kila mtu ni mchawi,niliwahi kwenda mara kadhaa nilipokuwa mdogo,mama yangu alikuwa anasali huko aisee kila ndugu yake,jirani aliambiwa ni mchawi,mama akatoa mpaka moja ya nyumba zetu zilizokuwa zinamuingizia pesa ili liwe kanisa,mwishoni alikuwa kama amechanganyikiwa ila Uwata...
Nashindwa hata kuelewa,the same thing happened to me nikiwa form three,lakini haikuwa kwa mwalimu wa kiume,nilikua napitia bulliying kutoka kwa wanafunzi wenzangu,nikapachikiwa kesi,sikuwa na upendo na. Shule tena,halafu nilikua nasomeshwa na walezi tuu sio wazazi,nilitoroka shule nikaenda kwa...
Mimi huwa nawapata kwakweli na ni mara nyingi.kama una shida na unahitaji kuwapata makesure unaanza kuwatafuta kwenye line kuanzia saa mbili na nusu na usipige namba moja.chukua zote nne na uwe unajaribujaribu zote bila kukata tamaa muda mwingi zinakua zinatumika lakini endelea kujaribu mpaka...
Ubinafsi umejaa kwenye haka kamji,asilimia kubwa ya watu wenye maendeleo ni wageni na sio wazawa.ni wavivu kwa kila kitu kuanzia kusoma mpaka kufanya kazi,ma bar ya kiloko ndio yamejazana,wananchi wake wengi ni wambea sana na wamekalia majungu, Ukimwi umejaa huko ukijichanganya tuu...
Mimi Supervisor wangu alinikomesha,nilifanya kazi kiugumu kweli na ndio ilikuwa kazi yangu ya kwanza, It was very tough na ilikua kampuni kubwa sana.thou nilimaster within a week
I
I dont care if uyo la saba kanizidi kipato,mimi na yeye ni watu wawili tofauti kabisa. Yeye ni yeye na mimi ni mimi dear 92 jerie.have a blessed sunday with full of joy and love
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.