Ila UWATA kule wao kila mtu ni mchawi,niliwahi kwenda mara kadhaa nilipokuwa mdogo,mama yangu alikuwa anasali huko aisee kila ndugu yake,jirani aliambiwa ni mchawi,mama akatoa mpaka moja ya nyumba zetu zilizokuwa zinamuingizia pesa ili liwe kanisa,mwishoni alikuwa kama amechanganyikiwa ila Uwata...