Namna ya kuzuia ujumbe wa kampuni za simu

Namna ya kuzuia ujumbe wa kampuni za simu

Mwenzenu nakerwa mno na meseji nyingi za kijinga zinazoingia kwenye simu yangu kila mara kutoka VODACOM Na TIGO. Mara Songesha, mara Ofa maaluma.......yani vurugu tupu.

Naomba mwenye kujua jinsi ya kuziblock anisaidie. Wajinga sana hawa. Wanatulazimisha kupokea msg zao bila ridhaa yetu halafu nyingi mno mpaka zinakera. Allllaaaaaaa......
Fungua sehemu ya meseji,Bonyeza meseji shikilia mpaka pale juu kulia itokee Alama ya kudelete na vinukta 3 chagua vinukta vitatu,vitakupa option ya kublock
 
Kibaya sana, ukiwa huna salio haziji. Weka kasalio kako tu,,, wao ndio wa kwanza baada ya taarifa ya muamala
 
Ni smartphone ndio. Nilishajaribu mpaka kuBLACKLIST lakini zinaingia tu!
Pole ila cheza na simu yako tu!.

Ningekuwa mwl, ningeweza kukufundusha but not.

Ila kwangu msg zote za makampuni ya simu zinaenda folder la spam na call zinaenda blocked call nimeilazimisha handset yangu namba zisizoeleweka zinakuwa blocked!
 
Mwenzenu nakerwa mno na meseji nyingi za kijinga zinazoingia kwenye simu yangu kila mara kutoka VODACOM Na TIGO. Mara Songesha, mara Ofa maaluma.......yani vurugu tupu.

Naomba mwenye kujua jinsi ya kuziblock anisaidie. Wajinga sana hawa. Wanatulazimisha kupokea msg zao bila ridhaa yetu halafu nyingi mno mpaka zinakera. Allllaaaaaaa......
Tena hao voda wangese wanakutaja na jina lako la kwanza kabisa kama mtoto wa chekechea.
 
TCRA waangalie hizi Promotions za makampuni ya simu ,Tigo wana WAKISHUA wanasisitiza ufanye miamala ya tigopesa utashinda ,mimi biashara yangu ya kuuza mkaa naifanya kwa tigopesa(Noormal number) ila sijawahi kushinda hata mara moja hizo Hisense ,naona ni MATAPELI tu....TCRA waangalie hizo Bahati Nasibu zao kama ni za uhakika au wanawapiga tu wateja wao.

Kama Unatumia Smart Phone kuna inbuilt apps na external Apps kibao za kublock huo Upuuzi wao.
 
Tumia hii true caller. Kimfano hizi unazoziona hapa zote ni sparm na blocked msg. Na ni rahisi pia kutumia, hizi sparm msg zitaingia kimya kimya ni mpaka utake kuziona ndo utaziona. Pia unaweza elekeza cm izifute zote kimya kimya
Screenshot_20221231-081402_Truecaller.jpg
 
Pole ila cheza na simu yako tu!.

Ningekuwa mwl, ningeweza kukufundusha but not.

Ila kwangu msg zote za makampuni ya simu zinaenda folder la spam na call zinaenda blocked call nimeilazimisha handset yangu namba zisizoeleweka zinakuwa blocked!
Tatizo la hii option hii ni kwamba wote wanaokupigia kwa namba mpya ambayo hujaisevu (na meseji zao) hawatakupata. Hii nayo siitaki.
 
Tumia hii true caller. Kimfano hizi unazoziona hapa zote ni sparm na blocked msg. Na ni rahisi pia kutumia, hizi sparm msg zitaingia kimya kimya ni mpaka utake kuziona ndo utaziona. Pia unaweza elekeza cm izifute zote kimya kimyaView attachment 2464045
Asante
 
Tatizo la hii option hii ni kwamba wote wanaokupigia kwa namba mpya ambayo hujaisevu (na meseji zao) hawatakupata. Hii nayo siitaki.
Mpaka hapo hujanielewa na ndiyo maana nikasema ningekuwa mwalimu.

Smartphone inaweza kukuzidi akili usipoweza kui_control!
.
 
Mwenzenu nakerwa mno na meseji nyingi za kijinga zinazoingia kwenye simu yangu kila mara kutoka VODACOM Na TIGO. Mara Songesha, mara Ofa maaluma.......yani vurugu tupu.

Naomba mwenye kujua jinsi ya kuziblock anisaidie. Wajinga sana hawa. Wanatulazimisha kupokea msg zao bila ridhaa yetu halafu nyingi mno mpaka zinakera. Allllaaaaaaa......
Asante kwa kuuliza
 
Mwenzenu nakerwa mno na meseji nyingi za kijinga zinazoingia kwenye simu yangu kila mara kutoka VODACOM Na TIGO. Mara Songesha, mara Ofa maaluma.......yani vurugu tupu.

Naomba mwenye kujua jinsi ya kuziblock anisaidie. Wajinga sana hawa. Wanatulazimisha kupokea msg zao bila ridhaa yetu halafu nyingi mno mpaka zinakera. Allllaaaaaaa......
 

Attachments

  • Screenshot_20230104_081440_Messages.jpg
    Screenshot_20230104_081440_Messages.jpg
    110.1 KB · Views: 21
  • Screenshot_20230104_081440_Messages.jpg
    Screenshot_20230104_081440_Messages.jpg
    110.1 KB · Views: 25
Back
Top Bottom