Katika zama hizi, wanaume wanapotia magumu sana. Wapo na insecure sana. Kuna matabaka kibao. Hawa wanaogopa kuoa, hawa wanawachukia wanawake, hawa wapo jela sababu ya wanawake wengine mpaka wanawaza watapata wapi wake bora. Majibu ya maswali haya ni magumu sana kuyapata. Ila utafiti unaonesha...
Habari zenu wanaume wa humu ndani. Natumaini hamjambo kabisa. Leo nakuja na Uzi huu maalumu kwa akili yenu. Kuna watu watanielewa, watanidharau, watanipinga na wengine wataguswa.
Twende kwenye mada. Ukiachana na kubeba shingo upara katikati ya miguu yetu ila kuna tabia hizi hapa ambazo lazima...
Sio kweli. Bikra zipo nyingi mno. Ila kama unakaa kweye majiji makubwa, unatoka na street girls, college au university ladies ni ngumu kukutana nazo. Ila huku mikoani, au strong families bikra zipo sana.
From experience, Kuna watu wanaona bikra mpaka Leo. Na ni sheria kama hasipoikuta...
Real men tupo ndugu yangu ila shida hatunaga swaga na makeke. Hatuvai brand, Tiktok na Insta hatuzijui na mbaya Sana hata kuchonga ndevu hatuwazi. Tukiwapenda tunawajali Sana mpaka mnadhani labda kutupenda kwenu ni bahati kwetu so mnaanza kulinga. Kawaida yetu, nice men with sigma mentality...
Habari zenu Wana Jamii forum? Natumanini mko salama kabisaà.
Mimi ni kijana wa kiume, nipo Dar Es Salaam, Ubungo. NATAFUTA band ya mziki ya kujiunga nayo katika shughuli za mziki. Yeyote anaeweza kuniconnect na kikundi chochote kinachofanya mziki wa live ntashukuru Sana.
Experience yangu ni...
Habari za wakati huu wanajamii forum? Mi niko vyema kabisa!
Kwa mara nyingine tena, nakuja kwenu, lengo ni kutafuta fursa ya kazi yoyote halali.
Nina experience ya marketing and promo strategies kwa miezi kadhaa. Kuuza kwenye store za nguo, vyombo na vifaa vya electronic. Lakini pia ni...
Migogoro na Unafiki ndo dhamira kubwa kwenye maisha ya mwanadamu. Haya yanatokea sababu, mawazo yako na ya mazazi yanatofautiana. Ni vyema kuwaeleza mipango yako.
Kuna siku Bimkubwa aliwahi niuliza kama niko sawa (nguvu za kiume). Hii ni baada ya kuona kupindi chote ambacho nimekaa pale home...
Uzi wako ni mzuri lakini sio sana. Usipende kugeneralize. Hii ni tabia mbaya na haifai. Kwa kufanya hivyo uzi wako haujengi labda kwa wale open minded na kumbuka ni wachache. Sio kila mwanamke anapitia hizo ulizotaja japo wapo wengi. Jaribu kuheshimu baadhi ya wanawake ambao wanajitambua.
Habari zenu wanajf?
Naomba leo tushee nyimbo zetu pendwa tunazozisikiliza kwenye playlists zetu when we feel giving up. (Kukata tamaa)
Binafsi, "Lengend" by Chronixx ndo nyimbo ambayo napenda kusikiliza sana. Kwa sababu;
- Content , instruments na melody hunifanya nijione mtu mwingine kabisa...
Habari zenu wanajf?
Naomba leo tushee nyimbo zetu pendwa tunazozisikiliza kwenye playlists zetu when we feel giving up. (Kukata tamaa)
Binafsi, "Lengend" by Chronixx ndo nyimbo ambayo napenda kusikiliza sana. Kwa sababu;
- Content , instruments na melody hunifanya nijione mtu mwingine kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.