Recent content by MEDALIST

  1. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli atumia mamlaka yake kuanzisha Ofisi Huru ya kitaifa ya kuendesha mashtaka, kuwa mbadala wa ofisi ya DPP

    Ni kujilisha upepo tu huru toka kwa nani? Ni kuongeza mzigo usiokuwa na sababu kwa walipa kodi wa kitanzania ambao majority ni maskini wa kutupwa. Ni kama lile zigo jingine la mahakama ya mafisadi lisilokuwa na manufaa yeyote kwa masikini wa kitanzania.
  2. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yazipelekea barua balozi za Marekani na Ujerumani kuhusu tuhuma za Musiba kwamba zinaihujumu Tanzania

    Mmoja anaongea facts mwingine anamwaga mipasho ya kwenye kanga. This world is very very unfair.
  3. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Manispaa ya Ubungo akiwa ktk mkutano wa CCM. Nafikiri ni muhimu watu wakajua Taifa liko wapi

    Mkuu ina maana hufahamu tofauti ya Meya na DED kiitikadi? Kama ndio then hujitendei haki hata kidogo ukiweza jiadhibu mwenyewe.
  4. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Serikali walikosea kwenye swala la uuzaji wa mahindi

    Mzigo wa transit sheria za kimataifa haziruhusu utozwe kodi mkuu isipokuwa charges zinginezo.
  5. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa wilaya ya Chato mkoani Geita

    Hao wanaolinganisha mbingu na dunia hawazitendei haki brains zao kwakweli shame on them!
  6. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Msemaji wa Serikali akiri ndege mpya ya Bombardier Q 400-Dash 8 kushikiliwa nchini Canada. Awatupia lawama wanasiasa...

    Ni kweli kabisa mkuu. Huwa nasema siku zote ukiangalia kwa makini sana interview ya dereva wa kampuni ambayo iko makini huwa serious kuliko mchakato wa kumpata rais ambaye sidhani hata kama huwa anakuwa interviewed. Kuwa na wajumbe wanaokusupport ili kupata uteuzi haimaanishi kwamba uko fit kwa...
  7. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Hizi shangilia shangilia za watu kwa Rais nimezishtukia!

    Kama 2015 walileta fisi kwenye kampeni itakuwaje issue kumleta le Dr Kamata? Sema umefanya kosa moja kubwa hapa kuwasanua so hawatamleta tena huyo mzee na kwa hilo umempotezea ulaji mkuu next time think twice.
  8. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Mabasi ya Kilimanjaro Express yazuiwa na TRA baada ya kushindwa kulipa kodi ya TSh 500 milioni

    Ndio wanazichanga, wakipata 500m toka kwa Kilimanjaro na kwa mwingine kdg hivyo hivyo taratibu itafika dola 28m wanayodaiwa Canada. Ni deni letu sote hilo la bombardier so kuonesha uzalendo yatupasa wote kuchangia.
  9. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wa kiuhandisi: Interchange ya Ubungo vs Jengo la PPF (TANESCO)

    G Sam kwa kuongezea maeneo ya Kwala kwa sasa kunajengwa dry port ambayo mizigo yote ya transit itapelekwa huko kwa train then malori yatasafirisha kunakopaswa. Kwa hiyo malori yote ya mizigo ya transit ambayo si mafuta ya mitambo au magari hayatakuwa na sababu ya kuja mjini yataishia Vigwaza...
  10. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Waziri Mpango: Rais Magufuli amenipigia simu kuhusu michango ya Bashe na Nape Bungeni

    Kwanini iwe issue ya rais kuamua hili? Mambo makubwa kama haya kwanini iwe utashi wa mtu mmoja? Nchi ina miaka 56 now angekuwa mtanzania anakaribia kustaafu bado hatuna systems in place za kutuongoza kwenye mambo yetu kitaaluma?
  11. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa uwanja wa kisasa wa ndege Chato unaendelea vizuri

    Matumizi ya Chato 1. Airport Billion 39 2. Jengo la TRA Billion 37 3. Bandari ya Uvuvi Billion .... 4. Taa za barabarani Billion ...... Jumla ya Matumizi Billion ........ Mapato ya Chato 1. Makusanyo ya kodi Milllion ....... Jumla ya Mapato Million ................ Tofauti ya Mapato na...
  12. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Selfie hii ya Nyalandu iliyopigwa jana ina ujumbe

    Mkwepa kodi nimeipenda hiyo ya Jaji Pengo Mutunguzi, ninahisi ninamfahamu huyo jaji kwa mbaaaaaaaaaaali saaaaaaaana.
  13. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Siku sita baada ya Adam Malima Kuteuliwa kuwa RC, Mahakama ya Kisutu imeifuta kesi ya kumshambulia Polisi iliyomkabili

    Na bado tunadai tuna mihimili huru ya kiungozi nchi hii. Shame on us.
  14. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Naona nguvu kubwa ambayo wenzangu wa CCM wanayoitumia kumnanga Lazaro Nyalandu

    Mkuu usisahau na zile barabara za ubuyu nchi nzima ambazo kila siku kodi zetu zinatumika kurudia kuzitengeneza. Tofauti ya yeye na hao wengine ni kwamba yeye anaweza kufanya lolote kufifisha ushahidi kama alivyohamishia jeshini kile chuma chakavu tulichonunua 8b TZS toka Denmark ili tusiweze...
  15. MEDALIST

    JamiiForums Tanzania Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

    Beef shamba lako liko wapi?
Back
Top Bottom