Recent content by Mecury

  1. Mecury

    Wazee wa kubugia chanjo za mabeberu; Mmejiandaaje na Monkeypox?

    Shida unakuta mtu anabisha kitu afu uelewa kuhusu jambo husika ni mdogo mpaka sio poa. Na wakati huohuo anatumia vifaa vilivyotengenezwa na wazungu haohao kuingia humu JF, Kama wakitaka kummaliza si wanaweka tu miale ya hatari kwenye simu, ya nini mpaka waangaikee waingie gharama kukutengenezea...
  2. Mecury

    Wazee wa kubugia chanjo za mabeberu; Mmejiandaaje na Monkeypox?

    Kinacho nishangaza watu chanjo tu ndo wazionaga zina sumu lakini madawa wanayoyatengeneza tunayabugia kwelikweli, tena kwa moyo mkunjufu.
  3. Mecury

    Hivi Ramadhani ni mwezi wa kula Sana au wa kufunga?

    Mbona watu wanatukunana tena kwenye mambo yanayohusu dini?!!!!!!!!
  4. Mecury

    Hivi Ramadhani ni mwezi wa kula Sana au wa kufunga?

    Yesu alikua anaabudu siku ya jumamosi kwenye maSinagogi.
  5. Mecury

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Leo nimeweka vocha za 1,000 mara tatu kwa mkupuo ilinijiunge kifurushi cha wiki 3,000 kuangalia salio nashangaa nakutana na 2,938 bila maelezo yoyote sijui hio 62 imepotelea wapi. Nimeweka vocha data nimezima tu muda mrefu kwabla ya kuweka vocha, sajajiunga na huduma yoyote ambayo ingenikata...
  6. Mecury

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Duh! Kua mkweli tu daktari, ulikumbuka kufatilia hivo vipimo, kwa sample yake au ndo potelea pwete.
  7. Mecury

    Nini matumizi ya Mabondo ya Samaki Sangara?

    Uwa wanatumia kutengeneza supu hasahasa yakikaushwa na supu yake ni aghali sn pande hizo.
  8. Mecury

    Misimu ya maisha

    Sio kutokua na akili lakini ni makosa ambayo vijana wengi tunapitia, & by the way tunajifunza kupitia kupitia makosa. Na hongera pia ww mwenye akili ambae hujawahi kufanya makosa maishani mwako.
  9. Mecury

    Misimu ya maisha

    Hahahaaa!
  10. Mecury

    Misimu ya maisha

    Hatari sasa na walivyo na hisia kali za kugundua mfulio wanaweza wakakunusa tu wakajua hamna kitu huyu mtu siku hizi. Yani hapa mtaani mpaka baadhi ya watu hawaitikii salamu zangu.
  11. Mecury

    Misimu ya maisha

    Asee sijamlilia mtu isitoshe sijaomba msaada wa aina yoyote kwa mtu kwenye huu uzi, nilichofanya ni kama therapy flani hivi kupunguza machungu yangu.
  12. Mecury

    Misimu ya maisha

    if cap fits, Bado na imani nitasimama tena.
  13. Mecury

    Misimu ya maisha

    TheChoji, Umeongea point sana na hii inanitia moyo niongeze spidi katika juhudi za kupambana nirudi katika hatua nilizo kuwapo mwanzo na ikiwezekana zaidi. Ingawa bado sijafikia hiyi miaka, lakini umeongea kitu cha msingi sana. Kwani muda hausubiri mtu.
  14. Mecury

    Misimu ya maisha

    Thanks man, nazidi kupambana na naamini haya ni mapito tu.
  15. Mecury

    Misimu ya maisha

    Siku nyingine baada ya kula mlo mmoja tu na muda mfupi tu baada ya kuzipitia jumbe fupi za zamani kutoka benki fulani hapa nchini ambayo nami nilikuwa mteja wa muda mrefu sana. Nikikumbuka miamala niliyokuwa naifanya kwa ajili ya kukidhi mahitaji yangu na starehe mbalimbali. Nimemkumbuka pia...
Back
Top Bottom