Subiria vya halali tuu braza..kaa ukijua hta kulima ni kucheza kamari tuuu...wadudu wakila mbegu ndo imetokaaa hio..wanaojitoa ufahamu ndo siku nzote wanatusuaga maisha...[emoji2] [emoji2]
Baki na hii kama msaada tuu[emoji116]
Hatunywi sumu..hatujinyongiii...tararara....mbele kwa mbelee..tumeipenda wenyewe..chaguo letu milele na wavimbe wapasuke watajijua wenyewe....tantaaa..acha waisome namba ee..watasoma nambaa....(jamn haka kawimbo alietunga aliona mpaka mwaka huu)[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mimi mwenyewe kidogo nipigwe mwaka jana tu apa kazaliwa mtto jiran apo si gafla siku zinavyokwenda akaanza kufanana na mmi..[emoji2][emoji2][emoji2] so nawashauri muache tu hisia ambazo zinaweza leta picha za kwel..
Na huo mchakato maana yake kutakua na mwenyekiti mwingine wa chama wa muda..it meanz watampindua embu kuweni serious kidgo yule ndo president na ndo chairman wa CCM..nan anabisha..[emoji34][emoji34][emoji34]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.