Hii habari ya Wanaojitolea nayo ni kichaka kingine. Wanaojitolea wenyewe wamepewa nafasi hizo za kujitokea kwa kujuana, then hao hao ndio watakaopewa kipaumbele kwenye kuajiriwa! Hawa masikini wenye hali tete na walioshindwa kujitolea kwa sababu ya kukosa namna ya kujikimu wawapo majitoleoni...
Huu utaratibu wa kuajiri the so called wanaojitolea ni wakukemewa kwa nguvu zote. Umegubikwa na rushwa na upendeleo kwa kuwa hata hizo nafasi za kujitolea zilitolewa kwa upendeleo pia.
Nafasi za kazi zitangazwe na watu waombe, kisha wapimwe kwa usaili.
Elimu ni nambari moja kwa ustawi wa jamii. Bila elimu hakuna maendeleo endelevu ya ulimwengu huu tulionao!
Elimu ni ujuzi, na ujuzi ndio ngao pekee inayomwezesha mwanadamu kupambana na mazingira yake.
Wewe unajiona hodari kupost upuuzi huu? Hivi akili za kitumwa zitatuisha lini? Unadhalilishwa nawe unashangilia, eti kwa sababu aliyekudhalilisha ni mzungu? Umenisikitisha sana!
Hao Waturuki pia hawakujiandaa vyema kuwekeza Tanzania. How comes zaidi ya miezi sita mko na mitambo (assets) ugenini bila kuanza biashara? No way, let them go!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.