Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,198
- 1,289
Je wewe ni Mwalimu wa masomo ya Science? Umeomba ajira Mara ngapi serikalini na ukakosa, je unayo matumaini ya kupata ajira.
Binafsi nimemaliza UDSM, 2018 teaching subjects zangu ni Chemistry na Biology.
Kwenye darasa letu ameajiriwa mtu mmoja tu, kwa mwaka wetu wameajiriwa walimu wa physics na Math kidogo.
Kwa Sasa ualimu wa Biology na Chemistry, Biology na Geography, hauna dili Tena
Binafsi nimemaliza UDSM, 2018 teaching subjects zangu ni Chemistry na Biology.
Kwenye darasa letu ameajiriwa mtu mmoja tu, kwa mwaka wetu wameajiriwa walimu wa physics na Math kidogo.
Kwa Sasa ualimu wa Biology na Chemistry, Biology na Geography, hauna dili Tena
