Recent content by Mechanic 97

  1. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Heri tukose misaada kuliko kuamrishwa nini cha kufanya na Ulaya

    Hicho kinyama kinacho nuka kitoe kupitia mahakama huru wote tutoe maoni. kutoa kupitia utekaji ni bora mabeberu waingilie kati japo si sawa
  2. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Heri tukose misaada kuliko kuamrishwa nini cha kufanya na Ulaya

    sasa basi jeshi na mahakama visiwepo kama solution ni kuteka watu
  3. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Wazalendo tunasimama upande gani katika mnyukano kati ya CCM na Marekani?

    mbaya zaidi uranium kwa sasa haina dili kihivyo labda ya shinkolobwe DRC
  4. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Huo mdaa huwa wanaandika tu pamoja na hitilafu nyingine zitakazo tokea
  5. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania CCM wamekataa tamaa ya kushindana katika majukwa ya kisiasa na CHADEMA. Wanaona hawana tena cha kupoteza hivyo liwalo na liwe

    Tuambie vigezo vya maana vya CCM kukaa madarakani hadi sasa
  6. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Trump, China na vita vya madini: Tanzania imo katikati ya “cold war” mpya ya karne ya 21?

    Tayari CCM walishaanza kufanya uharibifu
  7. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Free shipping mara nyingi karibia zote ni speedaf
  8. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Heche: Huwezi kuua halafu mambo yakaisha tu, Mungu alimwambia Kaini hautakuwa salama

    Unasamehewa ila malipo ni pale pale
  9. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Palamagamba Kabudi, kuonja jiwe la moto Norway

    Sio ukichaa ndo ivyo kibiblia ukifanyacho leo kina athari hadi kizazi chako cha nne
  10. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Palamagamba Kabudi, kuonja jiwe la moto Norway

    Sio ukichaa ndo ivyo kibiblia ukifanyacho leo kina athari hadi kizazi chako cha nne
  11. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Serikali ije na sera ya kuhimiza makampuni makubwa kujiunga na soko la hisa D.S.E

    Wamepambana wapi wewe kwa kusupportiwa na ccm na kujonya watz kwa mishahara kiduchu
  12. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Shutterstock contributor

    Mkuu mm nipogo humo pia nimejisajili na adobe stock, alamy, pond ila camera ndio sina nategemea kuchora
Back
Top Bottom