Recent content by Mechanic 97

  1. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania HOJA Wizara ya Ujenzi Kampuni maskini ya Moshi iitwayo RockTronic ni ya kuipa tenda ya kujenga barabara ya Arusha-Moshi?

    Mkuu shida Iko wapi Barbara ya moshi kampuni ya moshi shida Iko wapi mkuu ?
  2. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa maana ya FB post engagement

    Ni kweli nime notice ngoja niendelee what if kama nikifungua nikiwa nimewasha VPN au device mbili ila internet network moja
  3. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa maana ya FB post engagement

    Mkuu nimefanya simple test. Nimechukua account zangu nyingine mbili nika "like" na ku "see more" kwenye kila akaunti mbili engagement zimeongezeka kutoka 13 hadi 15. Ingekuwa ni hivyo kama unavyosema zingekuwa 17
  4. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa maana ya FB post engagement

    Sawa mkuu
  5. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa maana ya FB post engagement

    Hamna ulazima ila bado nafsi inashindwa kukubalia na hii hali
  6. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa maana ya FB post engagement

    Noma sana mkuu
  7. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa maana ya FB post engagement

    Au sio! sema inafikirisha
  8. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa maana ya FB post engagement

    Mmmmh! Sidhani ina maana hata watu wanao nifahamu nao wamepita kimyakimya
  9. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa maana ya FB post engagement

    Unaweza kusema hivyo hata mimi mwanzo nilielewa hivyo lakini inawezakana vipi kupata 7 see more kwa total views ya 350 ambapo viewers per account ni 177. Maana yake views mara mbili.
  10. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa maana ya FB post engagement

    Sawa nawasubiri
  11. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa maana ya FB post engagement

    Wakuu nashindwa kuelewa kuhusu FB post engagement. Kwa maana utakuta post ina 350 views, 13 engagement 4 likes, 2 comments, total interaction 6. Sasa je hizo engagement 7 Zimetoka wapi?. Ukizingatia post ina sehemu ya kuclick moja tu ambayo (see more). Je kama hizo 7 engagement niza kuclick see...
  12. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Hivi hali ya biashara huko kwenu ipoje.....

    Dunia kote wapi wewe umeenda kote. Shida watu weusi wameona fursa kwao ni kilimo na biashara za uchuuzi viwanda na madini mmewaachia wageni?
  13. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Simu Bora za Kununua nchini Tanzania kwa Mwaka 2026

    Ndio ukweli wanapima kwa return on investment
  14. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Simu Bora za Kununua nchini Tanzania kwa Mwaka 2026

    Ndio ukweli wanapima kwa return on investment
  15. Mechanic 97

    JamiiForums Tanzania Fanya yote ila usiwe na mahusiano na mfanyakazi mwenzako kazini

    Kwa hiyo na jay ska nae wamepita nae
Back
Top Bottom