Recent content by meccy

  1. M

    Viwanja viwanja vinauzwa Ifakara

    Habar wakuu, viwanja vinauzwa Ifakara maeneo ya kibaoni vyenye ukubwa wa high density vipo karibu na Mbega resort. Mwenye kuhitaji wasiliana kwa namba 0715495215
  2. M

    Lucy Nkya (Naibu Waziri wa zamani) arushiana risasi na mwanae

    Jonas ni tapeli na wala hakuna anayemsingizia juu ya hilo, tuliotapeliwa hayo magari tupo na mwisho wa siku tuliamua kumuachia Mungu maana yeye ni muamuzi wa yote. Kuna wengine ni wastaafu walitumia pensheni zao kumuagizia magari ikabaki kuwa hadithi. Huo ni mwanzo tu mengine yatasikika. Ogopa...
  3. M

    Waliokamata wezi wa sadaka KKKT Kariakoo wafukuzwa kazi

    Jaman sio kila kitu ni cha uongo, hii habari ni ya kweli. Nina ndugu yangu nae ni muhusika kafukuzwa kazi na sasa yupo nyumbani.
  4. M

    Unalikumbuka kundi hili swv

    Da inanikumbusha mbali sana, enzi hizo rock garden morogoro
  5. M

    Nauza kiwanja Mbezi Msumi

    Habari za majukumu wana jf, Nauza kiwanja chenye ukubwa wa 25X25, kipo maeneo ya Mbezi Msumi. Kiwanja kina jengo la vyumba viwili na nipo katika mchakato wa kupata hati. Bei maelewano, pm kwa kupata maelezo zaidi.
  6. M

    Lonely lonely ..........

    Baba watoto tuliachana miaka 4 iliyopita na sasa ana mke huko aliko
  7. M

    Lonely lonely ..........

    Asante kwa ushauri
  8. M

    Lonely lonely ..........

    Baba yao yupo hai
  9. M

    Lonely lonely ..........

    Thanks
  10. M

    Lonely lonely ..........

    Thanks
  11. M

    Lonely lonely ..........

    Jamani mwenzenu upweke umenichosha, natafuta mwenza wa kuishi nae. Ni mama wa watoto wawili, umri wangu miaka 36, elimu yangu ni shahada ya uzamili, muislamu na ni muajiriwa wa serikali. Nahitaji mume umri kuanzia miaka 37 awe muislam. Aliye serious naomba pm
  12. M

    A divorced or single dad to start a new family is needed

    Pole cindy, usijali Mwenyezi Mungu yu pamoja nawe. Wanawake wengi huwa tunajiuliza kama kuna second chance, wengi wamefanikiwa kupata wenza na wakaishi maisha ya amani.
  13. M

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 14 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Kigwangala kasimama tena akidai lisu muongo, ila nimekubali Lisu kichwa na ni msomaji mzuri
  14. M

    Wakala wa kusafirisha mizigo (msaada tafadhali)

    Wakuu poleni na majukumu. Naomba msaada wenu kwa anayefahamu wakala wa kusafirisha vifurushi kutoka Marekani kuja Tanzania anijuze. Pia kama kuna njia yoyote iliyo salama kusafirisha mizigo naomba nijuzwe.
  15. M

    Huduma za Ushauri kwa masuala ya kijamii

    Habari zenu wana jf, poleni na majukumu. kuna huduma nyingi za kitaalamu tunazo ndani ya jamii zetu ingawa wengi hatuzifahamu. Nilikuwa na tatizo ambalo lilinipelekea kuwa na msongo wa mawazo lililosababisha utendaji wangu wa kazi kushuka, ndipo nilipokutana na kijana mmoja na kunipa...
Back
Top Bottom