Jamani mwenzenu upweke umenichosha, natafuta mwenza wa kuishi nae.
Ni mama wa watoto wawili, umri wangu miaka 36, elimu yangu ni shahada ya uzamili, muislamu na ni muajiriwa wa serikali.
Nahitaji mume umri kuanzia miaka 37 awe muislam. Aliye serious naomba pm